JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi. Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani...
65 Reactions
667 Replies
90K Views
Jamani mwenye connection za gest za 5000 kwa mbeya anipe, au za bei poa naeza nkakaa.
0 Reactions
19 Replies
452 Views
Kumekuwa na mjadala mkubwa kama yule ni mimi au sio Mimi. Nimekuja mbele Yenu wa JF ili nijibu hoja na maswali yenu. Ila yule sio mimi. Karibuni kwa maswali.
24 Reactions
102 Replies
2K Views
Wewe ni tajiri au masikini? Tuwekee picha tuone maana mmezidi kujitapa nyie matajri.
5 Reactions
30 Replies
482 Views
Kuna majina mengi ya bar ya ajabu mengine yana maneo makali sana Nitaanza na mfano 1. Kidimbwi 2. Toroka uje Weka jina unalofahamu
0 Reactions
0 Replies
67 Views
Hapa ni baadhi 1. Mbege 2. Dengerua 3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe...
2 Reactions
85 Replies
915 Views
Steve na Ndaro ni Wachekeshaji wanaokuja kwa Kasi sasa katika Komedi na ukiwatizama usipocheka basi Umerogwa.
2 Reactions
9 Replies
168 Views
Hivi hii kauli na agizo huwa unalichukuliaje na unajisikiaje!? Unapoongea na mtu kwenye simu kisha anakupa hilo agizo.
7 Reactions
40 Replies
1K Views
Nimekuwa napenda sana kusoma misemo mbali mbali katika magari hasa mabasi ya abiria na yale ya mizigo. Ndipo nilipoamua kuwauliza madereva, nani anayetaka maneno hayo yaandikwe? Majibu yao ni...
28 Reactions
4K Replies
1M Views
...mboni ichafukapo jicho huwa mashakani... ...Ni mbali we uliko nasijui..UHALI GANI... ..nikumbuke kwa PM hata wa kucomment post hii wazima wana JF... Uhali Gani - YouTube
8 Reactions
199 Replies
6K Views
A man had a girlfriend and a best friend. One day, he called his girlfriend, "Can you come and help me?" "I can't, I'm busy," she answered. He then called his best friend, "Can you come and help...
0 Reactions
1 Replies
115 Views
Rejea kichwa cha uzi mwanaJF umevaa nini mkononi..Tupia kwa uzi
1 Reactions
65 Replies
3K Views
Hizi mambo za kupewa albamu kuangalia picha za wenyeji wako hivi bado zipo kweli ndugu zangu? Wewe ukienda kutembelea ndugu, jamaa na marafiki ukifika wanakupa nini au wewe ukitembelewa huwa...
2 Reactions
14 Replies
648 Views
kwa siku, wiki, mwezi au mwaka kwa upande wako unaspend muda mrefu na bando kubwa zaidi ya data ukiwa kwenye ukarasa upi miongoni mwa kurasa nyingi tu, za mitandao ya kijamii humu duniani...
3 Reactions
71 Replies
965 Views
wakuu ni aje. Kama kichwa cha habari kinavyojeleza hii ndio post yenye likes nyingi hapa Jf tangu ilipoanzishwa👇 Kama kuna post unahisi ina likes nyingi kuzidi au zinafuatia share hapa
7 Reactions
7 Replies
282 Views
Mtoto wa mjini kipaumbele Cha kwanza kuvaa. Huwezi kuwa mtoto wa mjini unaendekeza kula kuliko kuwa nadhifu ,unafeli mchana kweupe.
2 Reactions
13 Replies
192 Views
Wengi wetu tunakaribia kusherekea sikukuu za Pasaka na Eid el Fitr. Mimi binafsi nitaenda kufurahia sikuukuu yangu katika hiyo Coco Beach Je, nawe utaenda wapi?
5 Reactions
55 Replies
903 Views
Katika maisha zipo nyakati, ambazo naweza sema ni nyakati ngumu sana na zina misukosuko mingi, kiasi cha kwamba usipokuwa makini unaweza ukaachana na kila kitu kutokana na nyakati hizi kuwepo...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Mbuzi wanaokaidi sheria za fizikia, kwenye clip hii wanashuka kutoka juu ya mti, hebu wataalam wa yule jamaa yenu mzungu wa kwa nini jiwe linarudi chini kutokana na sijui gravity mara atomy of...
2 Reactions
13 Replies
359 Views
Miongoni mwa mambo ninayo yangoja kwa hamu ni kuingia mojakwamoja peponi. Naomba kuuliza wataalamu wa maandiko endapo peponi kuna nyama choma yenye pilipili kwambaali na limao. Imeandikwa...
9 Reactions
46 Replies
622 Views
Back
Top Bottom