Ivi hii kauli na agizo uwa unalichukuliaje na uwa unajisikiaje!? unapoongea na mtu kwenye simu Kisha anakupa ilo agizo
yeah...na maana yake ni kuwa wewe huna umuhimu sana kuliko yule....busara ndiyo hiyo uliyosemaKibusara hutakiwi kumuambia mtu hivyo mana ni kama umemdharau, unaweza kumuambia subiri kdg nakupigia.
Huwa nakasirika sana na huwa sirudii kupiga simu kwa huyo mtu, inaudhi sanaIvi hii kauli na agizo uwa unalichukuliaje na uwa unajisikiaje!? unapoongea na mtu kwenye simu Kisha anakupa ilo agizo
huwa nakasirika sana na huwa sirudii kupiga simu kwa huyo mtu, inaudhi sana
Kuna kitu kinaitwa polite speaking, sijui kwa kiswahili nisemeje. Watanzania wengi sana hatuna huu utamaduni. Hili la simu ni moja kati ya mengi.Usichukulie mambo personal sisi waswahili bado mambo mengi hatuyajui unabidi kuchukulia kawaida
Ni namna tu ya mawasiano ya kiwango cha chini kisicho na ustaarabu. Hata kama ni ujinga bado unaweza kummwambia ''samahani, nipe muda kidogo nitakupigia''Ukiona hivyo ujue mlikuwa mnaongea ujinga kwahiyo Kuna mtu anataka kuongea naye issue serious Kisha akimaliza atakupigia muendelee mlipoishia na ujinga wenu
Ni yale yale tu, huo muda kidogo maana yake unataka kufanya kitu muhimu kuliko yeyeNi namna tu ya mawasiano ya kiwango cha chini kisicho na ustaarabu. Hata kama ni ujinga bado unaweza kummwambia ''samahani, nipe muda kidogo nitakupigia''
Siyo yale yale. Ni lugha mbili tofauti na watu watajisikia tofauti. ''Njoo hapa'' na ''hebu njoo'' ni kauli za kuita mtu, na zina maana moja lakini anayeitwa hisia zake zinakuwa tofauti.Ni yale yale tu, huo muda kidogo maana yake unataka kufanya kitu muhimu kuliko yeye
kama pana kaukweli vileUkiona hivyo ujue mlikuwa mnaongea ujinga kwahiyo Kuna mtu anataka kuongea naye issue serious Kisha akimaliza atakupigia muendelee mlipoishia na ujinga wenu
Upo sahihi kabisa, huyu ni mimi na shost zangu tukishamaliza ya maana tunaingia kwenye umbea simu ya kazi au familia inaingia lazima nimwambie kata/subiri kwanza nimpokelee fulani, kisha tunaendeleza umbea wetu.Ukiona hivyo ujue mlikuwa mnaongea ujinga kwahiyo Kuna mtu anataka kuongea naye issue serious Kisha akimaliza atakupigia muendelee mlipoishia na ujinga wenu
Si ndio hapo sasa, ukijisikia vibaya ni makasiriko yako tuHamna shida mbona sasa ukute unaongea tu mambo ya kawaida, simu ikaingia ya muhimu why usiambiwe kata hee😅