Unatumia muda mwingi na bando kubwa zaidi ya data kwenye platform ipi ya mtandao wa kijamii?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,405
11,744
kwa siku, wiki, mwezi au mwaka kwa upande wako unaspend muda mrefu na bando kubwa zaidi ya data ukiwa kwenye ukarasa upi miongoni mwa kurasa nyingi tu, za mitandao ya kijamii humu duniani, mathalani Facebook, X, Instagram, JF nakadhalika?

na unatumia sana platform hiyo na data kubwa sana kwa ajili biashara yaani soko, kupata elimu na kuongeza uelewa na ufahamu wa mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, kuburudika na kufarijika, kutafuta kazi, kutafuta wachumba na marafiki n.k ama unatumia kufanya nn zaidi?

binafsi kwasasa natumia zaidi JF, kisha X inafuatia kwa karibu sana.

yaani ukikosa bando ya data au internet ikizingua kidogo tu unakua mnyonge kweli kama vile umepungukiwa jambo kubwa zaid siku iyo.

platform nyingine binafsi sijui kutumia najaribu nashindwa kabisa 🐒
 
kwa siku, wiki, mwezi au mwaka kwa upande wako unaspend muda mrefu na bando kubwa zaidi ya data ukiwa kwenye ukarasa upi miongoni mwa kurasa nyingi tu, za mitandao ya kijamii humu duniani, mathalani Facebook, X, Instagram, JF nakadhalika?

na unatumia sana platform hiyo na data kubwa sana kwa ajili biashara yaani soko, kupata elimu na kuongeza uelewa na ufahamu wa mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, kuburudika na kufarijika, kutafuta kazi, kutafuta wachumba na marafiki n.k ama unatumia kufanya nn zaidi?

binafsi kwasasa natumia zaidi JF, kisha X inafuatia kwa karibu sana.

yaani ukikosa bando ya data au internet ikizingua kidogo tu unakua mnyonge kweli kama vile umepungukiwa jambo kubwa zaid siku iyo.

platform nyingine binafsi sijui kutumia najaribu nashindwa kabisa 🐒
Hawa jamaa ni wezi wanatuinia kila baada ya siku tatu au mbili 3000 inaliwa 🤨
 
kwa siku, wiki, mwezi au mwaka kwa upande wako unaspend muda mrefu na bando kubwa zaidi ya data ukiwa kwenye ukarasa upi miongoni mwa kurasa nyingi tu, za mitandao ya kijamii humu duniani, mathalani Facebook, X, Instagram, JF nakadhalika?

na unatumia sana platform hiyo na data kubwa sana kwa ajili biashara yaani soko, kupata elimu na kuongeza uelewa na ufahamu wa mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, kuburudika na kufarijika, kutafuta kazi, kutafuta wachumba na marafiki n.k ama unatumia kufanya nn zaidi?

binafsi kwasasa natumia zaidi JF, kisha X inafuatia kwa karibu sana.

yaani ukikosa bando ya data au internet ikizingua kidogo tu unakua mnyonge kweli kama vile umepungukiwa jambo kubwa zaid siku iyo.

platform nyingine binafsi sijui kutumia najaribu nashindwa kabisa 🐒
Ni mtandao wa JF mkuu
 
Back
Top Bottom