Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 18,743
- 45,478
Kwa nini inakushinda mkuu?Reddit kila nikiijaribu inanishinda ila Quora imekaa poa sana
Kwa nini inakushinda mkuu?Reddit kila nikiijaribu inanishinda ila Quora imekaa poa sana
Youtube..Nipe list ya chanels za youtube na reddit zenye mambo mazuri nami nikajifunze mkuu
Master uzi wa kubeti sikuoni kabisaNi hivi kiongozi Xnxx tupo pamoja.
Shukurani sana mkuu🤝Youtube..
1. Kurzgesagt - In a nutshell
2. Free Documentary
3. The Engineering Mindset
4. The Stoic Community
5. Aperture
6. DIY Garden Ideas
7. Histographics
8. Kento Bento
9. Vice Life
10. The Infographics Show
11. Medieval Madness
12. Thomas Schwenke
Reddit ni forum kama Jamii Forums. Yani completely kama Jamii Forums. Huko sasa inategemea unapendelea kusoma au kuona nini. Kuna subreddits ambazo ni kama majukwaa ya hapa JF.
Sure jf haili bando, hadi ubaki na mb 0 ndo haifunguki, ila hata 5mb unaperuzi bila tabu.Mtakao itaja JF kuwa mnaspend bando kubwa humu mtakuwa mnatupanga ...
Binafsi ni IG na X.
Wanawake hamuwazagi bando nyie, na nadhani ni wote sijui.Hivi kumbe bado kuna watu mnaungaga bundle……
Ni Jf, Youtube na Instagram ndio nakuwaga mda mwingi japo sijui zinakula bundle kiasi gani
Yah of course inakula muda Sana Lakini pia muda tunao spend humu tunagain vitu vingi sana. 🙌🏽Sure jf haili bando, hadi ubaki na mb 0 ndo haifunguki, ila hata 5mb unaperuzi bila tabu.
Labda ni app inakula muda.
Inategemea mkuu, wapo wasiogain chochote piaYah of course inakula muda Sana Lakini pia muda tunao spend humu tunagain vitu vingi sana. 🙌🏽
Mkuu nipe password ya hiyo free public wifi! Niwe namvideo call JBundle sina hofu nalo. 24 hours free public WiFi.
Sema natumia muda mwingi sana JF.
Mbona unaji defend...Unaweza kujiona huangalii ujinga lkn kwa mtu mwingine ni ujinga tu wote hata kuwa hapa JF n ujinga.Youtube.
Infact situmii kitu social network nyingine zaidi ya JF, Reddit na Youtube. Jambo la msingi ni kuwa situmii kuangalia ujinga bali huwa najifunza mambo mengi sana kwenye channels za maana.
🤣🤣🤣Wooi.Mkuu nipe password ya hiyo free public wifi! Niwe namvideo call J
Una moyo mgumu wewe!🤣🤣🤣Wooi.
Range yake haifiki huko uvunguni.
Imebidi nii-configurateMkuu nipe password ya hiyo free public wifi! Niwe namvideo call J
Hahahaha!.Una moyo mgumu wewe!
Asante kwa kunitukana..!🤸
Kumbe mnanionea wivu na Lucas wangu🤸Imebidi nii-configurate
Password weka: lucasMwashambwaCCM.
Mpaka list ya wasanii wenye IQ kubwa ukamtaja, anakutekenya vilivyo bila shaka.Kumbe mnanionea wivu na Lucas wangu🤸