let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,332
- 7,934
Mimi natumia bando la Mkopo,🤣🤓Mimi natumia unlimited situmii bando za Unga Limited Cc Intelligent businessman na Fake P nyie mnatumia ipi ndugu zanguni😂😁😁😁
Napenda kutumia zaidi YouTube na kustream movie
Duh 🤣😂😁Mimi natumia bando la Mkopo,🤣🤓
We una tumia bando gani??, au in limited!?Hivi kumbe bado kuna watu mnaungaga bundle……
Ni Jf, Youtube na Instagram ndio nakuwaga mda mwingi japo sijui zinakula bundle kiasi gani
Pinterest uko makini sanaIG
Triller
Tiktok
Hiyo kwangu ndo inamaliza sana bundle.
Hii mingine haimalizi ila nashinda humo sana.
JF
Telegram
Na kuna chimbozii za kiwakii siwezi zitajaa hapa,
Tiktok, facebook na instagram unaweza kuondoa autoplay ukitumia mobile data ili kuzuia kucheza hata video usizozitaka.Tik tok kwa kweli. Waliotengeneza tik tok wameua sana
Xxnxkwa siku, wiki, mwezi au mwaka kwa upande wako unaspend muda mrefu na bando kubwa zaidi ya data ukiwa kwenye ukarasa upi miongoni mwa kurasa nyingi tu, za mitandao ya kijamii humu duniani, mathalani Facebook, X, Instagram, JF nakadhalika?
na unatumia sana platform hiyo na data kubwa sana kwa ajili biashara yaani soko, kupata elimu na kuongeza uelewa na ufahamu wa mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, kuburudika na kufarijika, kutafuta kazi, kutafuta wachumba na marafiki n.k ama unatumia kufanya nn zaidi?
binafsi kwasasa natumia zaidi JF, kisha X inafuatia kwa karibu sana.
yaani ukikosa bando ya data au internet ikizingua kidogo tu unakua mnyonge kweli kama vile umepungukiwa jambo kubwa zaid siku iyo.
platform nyingine binafsi sijui kutumia najaribu nashindwa kabisa 🐒
Reddit kila nikiijaribu inanishinda ila Quora imekaa poa sana1. X (twitter)
2. Reddit
3. Quora
4. WhatsApp
5. Linkedln
6. Telegram
7. Pinterest
8. JF
Nimezipanga kwa mfuatano kulingana na platform inayochukua muda mwingi
Nipe list ya chanels za youtube na reddit zenye mambo mazuri nami nikajifunze mkuuYoutube.
Infact situmii kitu social network nyingine zaidi ya JF, Reddit na Youtube. Jambo la msingi ni kuwa situmii kuangalia ujinga bali huwa najifunza mambo mengi sana kwenye channels za maana.
Wewe unafanyaje?Hivi kumbe bado kuna watu mnaungaga bundle……
Ni Jf, Youtube na Instagram ndio nakuwaga mda mwingi japo sijui zinakula bundle kiasi gani
Xxnx