Unatumia muda mwingi na bando kubwa zaidi ya data kwenye platform ipi ya mtandao wa kijamii?

You tube.
Ninanunua bando kubwa matumizi kidogo.
2th next month bando lina expire ila bado nina Gb 160 na ushee.
 

Attachments

  • Screenshot_20240426_005654_za.co.vodacom.android.app.jpg
    Screenshot_20240426_005654_za.co.vodacom.android.app.jpg
    281.9 KB · Views: 2
1. YouTube
Hiki ni kisima cha maarifa, nimetatua chamgamoto nyingi sana za kiufundi kupitia hii,
2. Quora
Hii ni ya kujifunza maarifa, japo siku hizi inaniwia vigumu kutokana na macho kuanza kusumbua
3 Tik tok
Hapa nikitaka ku refresh mind na ku punguza stress
4. Spotify, Shazam
Napenda Sana music
 
IG
Triller
Pinterest
Tiktok

Hiyo kwangu ndo inamaliza sana bundle.

Hii mingine haimalizi ila nashinda humo sana.

JF
WhatsApp
Telegram

Na kuna chimbozii za kiwakii siwezi zitajaa hapa,
 
Tik tok kwa kweli. Waliotengeneza tik tok wameua sana
Tiktok, facebook na instagram unaweza kuondoa autoplay ukitumia mobile data ili kuzuia kucheza hata video usizozitaka.

Tofauti na hapo bundle itakimbia sana.

Pia kwenye phone settings wekeni data saver on kwa upande wa mobile data ili kuzuia application zisifanye syncronization hata kama hazijafunguliwa.

Ila kwenye wifi huna haja ya kuweka data saver on.
 
kwa siku, wiki, mwezi au mwaka kwa upande wako unaspend muda mrefu na bando kubwa zaidi ya data ukiwa kwenye ukarasa upi miongoni mwa kurasa nyingi tu, za mitandao ya kijamii humu duniani, mathalani Facebook, X, Instagram, JF nakadhalika?

na unatumia sana platform hiyo na data kubwa sana kwa ajili biashara yaani soko, kupata elimu na kuongeza uelewa na ufahamu wa mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, kuburudika na kufarijika, kutafuta kazi, kutafuta wachumba na marafiki n.k ama unatumia kufanya nn zaidi?

binafsi kwasasa natumia zaidi JF, kisha X inafuatia kwa karibu sana.

yaani ukikosa bando ya data au internet ikizingua kidogo tu unakua mnyonge kweli kama vile umepungukiwa jambo kubwa zaid siku iyo.

platform nyingine binafsi sijui kutumia najaribu nashindwa kabisa 🐒
Xxnx
 
Nikiwa job situmii kabisa simu, but nikitoka kuanzia saa moja jion nakuwa nishalala so ni ticktock na youtube hadi saa tano then nalala, ksbla ya jf kuharibiwa ndo nlikua nashinda jf
 
Back
Top Bottom