Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,852
- 3,549
Hapa ni baadhi
1. Mbege
2. Dengerua
3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe kamba upande wa chini wa suruali ili kila kitu kiende sawa).
4. Komoni
5. Myakaya....
Endelea
1. Mbege
2. Dengerua
3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe kamba upande wa chini wa suruali ili kila kitu kiende sawa).
4. Komoni
5. Myakaya....
Endelea