Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,955
- 3,799
- Thread starter
- #21
Ulaka
Kuna Rubisi , kalinya, mnanasi, kayoga🤠🤠🤠!
Kuna Rubisi , kalinya, mnanasi, kayoga🤠🤠🤠!
tuwekee unazokunywa ukienda bush kwa bibi na babu
duhShoka
Lipukutange
Ulaka
Wanzuki
Chibuku
Tembo
Kangala
Gongo
Shoka ni pombe ya awali inayopatikana kweny tunda la korosho(bibo) kwa kawaida huwa ni kali pure spirit inawasha had kibatari😁duh
shoka?inawekwa nn iyo?
duh balaaShoka ni pombe ya awali inayopatikana kweny tunda la korosho(bibo) kwa kawaida huwa ni kali pure spirit inawasha had kibatari
Mnyampaa umfanga naMaghahi, mausu, miha, miusu, mamiha, pombe ya lade, pombe ya nyanya, pombe ya miwa
Hii wanzuki matata sana inatengezwa kwa asali.Shoka
Lipukutange
Ulaka
Wanzuki
Chibuku
Tembo
Kangala
Gongo
Umetaja Hadi majina ya wilaya na mitaaSekenke
Chakubanga
Rusha raha
Banana
Nikomoe
Wanzuki
Nakunya leo
Ulanzi
Ndungu
Trump mtata
Mchokonoe
Zediii
Shusha mikono
Nalenga
Namanyere
Chipapa
Kanyezi
Selengoma
Msinshindwe
Ulumi
Kalepula
Legezamwendo
Chibuku
Comoriye
Gongo
Nshukaa
Kwa leo zinatosha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umetaja Hadi majina ya wilaya na mitaa