Tuwekee hapa majina ya pombe za asili unazozijua

Sekenke
Chakubanga
Rusha raha
Banana
Nikomoe
Wanzuki
Nakunya leo
Ulanzi
Ndungu
Trump mtata
Mchokonoe
Zediii
Shusha mikono
Nalenga
Namanyere
Chipapa
Kanyezi
Selengoma
Msinshindwe
Ulumi
Kalepula
Legezamwendo
Chibuku
Comoriye
Gongo
Nshukaa

Kwa leo zinatosha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe unapigi zipi kati ya hizo🤪
 
Ndaho munyani wanje, ulihehe mkuu?
Ndi Moshi Kilimanjaro 0714525158.
Nterera tuganire neza tumenyane. Mugabo jewe navuye Rulenge imyaka myishi yahise mpaka ni igishubhi nabanze kuchibhagirwa. Niwanterera tuzaginire igiswahili kwa sababu nu ukuri igishubi nachibhagiwe chane.
URAKOZE
 
Ndi Moshi Kilimanjaro 0714525158.
Nterera tuganire neza tumenyane. Mugabo jewe navuye Rulenge imyaka myishi yahise mpaka ni igishubhi nabanze kuchibhagirwa. Niwanterera tuzaginire igiswahili kwa sababu nu ukuri igishubi nachibhagiwe chane.
URAKOZE
Nanje sindakizi neza mkuu, nzokutelela kumugolobha nvuye ku kazi tuganile tumanyane neza, Ulakoze chane.
 
Nanje sindakizi neza mkuu, nzokutelela kumugolobha nvuye ku kazi tuganile tumanyane neza, Ulakoze chane.
nyinyi mmenikumbusha miaka iyoo nlikuwa na jamaa yang mmoja sasa akiongea na mdada fulan lugha ya kwao yani ivi ivi km nyinyi mnavyoongea apo sasa uku na uku mimi sina habari na wanachoongea mara ghafla wakashikana mikono aoo wakapotea.

sijakaa sawa nasikia kitanda chumba jirani kinapiga kelele. nikajua ooh tayari ule usemi wa chinua achebe umetimia. sasa nanyinyi atujui mtaishia wap naona mshapeana adi namba kabisa apo. kila lakheri zenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom