Hizi mambo za kupewa albamu kuangalia picha za wenyeji wako hivi bado zipo kweli ndugu zangu? Wewe ukienda kutembelea ndugu, jamaa na marafiki ukifika wanakupa nini au wewe ukitembelewa huwa unawapa nini?
Siku hz hqkuna kutembeleana, zamani, kabla hata, simu za mkononi, unaibuka kwa ndugu yako, upo na watoto, mke, manpokewa kwa furaha, watoto mnagonga vyoda,wazazi,wana piga story, unatambulishwa kwa ndugu zako, freeesh tu, siku hz, tunakutanishwa na misiba, harusi,
siku hizi ukienda kwa mtu unachopokelewa nacho ni sababu iliyokuleta na lini utaondoka na nilazima uende na kiroba cha mahindi na vitoto vy wenyeji havina adabu uzungu mwingi bora ukalishe kwenu kuliko kumtembeleq mtu siku hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.