nasubr waje wanpe locationSubiri Mbeya zipo.
Nenda pale Mtaa wa Rungwe Music opposite na Soko la Sido ulizia Guest ya Pajero then lipia 5000 yakoJamani mwenye connection za gest za 5000 kwa mbeya anipe, au za bei poa naeza nkakaa.
jina au jina la hiyo sehemuNenda Uyole, upande wa kulia kama unakwenda town, chinichini kidogo ipo Moja ya bei hizo.
Pale ni elfu 6 sema hizo blanketi na mashuka yao nadhani mara ya mwisho kufuliwa yalifuliwa mwaka 1987.panaitwa star lodgeNenda Uyole, upande wa kulia kama unakwenda town, chinichini kidogo ipo Moja ya bei hizo.
Mwaka 1984 nilikaa Mbeya kuanzia mwezi wa 5 mpaka wa 8 katikati, nilioga siku nimefika baaasi!!Njoo hapa karibu na chuo cha uhasibu ipo, ila maji ya kuoga na choo unajitegemea
Wewe ni wa kike au wa kiume??Kulikoni jamaa yangu Umefukuzwa huko ulikotoka?
Ni rahisi sana kuwaimbisha wa sh. 6000 kukulaza kwa 5000 kuliko wa 10000. Hilo la ma blanket alitegemeePale ni elfu 6 sema hizo blanketi na mashuka yao nadhani mara ya mwisho kufuliwa yalifuliwa mwaka 1987.panaitwa star lodge
Njoo hapa karibu na chuo cha uhasibu ipo, ila maji ya kuoga na choo unajitegemea
Mwaka 1984 nilikaa Mbeya kuanzia mwezi wa 5 mpaka wa 8 katikati, nilioga siku nimefika baaasi!!
khaaahNjoo hapa karibu na chuo cha uhasibu ipo, ila maji ya kuoga na choo unajitegemea
woiiiihPale ni elfu 6 sema hizo blanketi na mashuka yao nadhani mara ya mwisho kufuliwa yalifuliwa mwaka 1987.panaitwa star lodge