Ni takribani wiki sasa inapita napatwa na dalili hizi
1. Muwasho sehemu za siri kwenye uume na pumbu zinapata zinapata vipele flani havijai maji ila nikivikuna vitamu sana nasikia raha sana mpaka natoka michubuko.
2. Muwasho matakoni karibia na msingi najikuna sana mpaka matako yamechubuka.
3...
Ni takribani mwezi sasa nipo kwenye mahusiano na bidada mmoja wa kuvalia miwani na mwenye artifical (kajichubua kiasi) colour wakuvalia vikuku na urembo wa kutosha ila kuna vitu ambavyo simuelewi kila simu yake ikipigwa anatoka nje kabisa au tukiwa chumbani anatoka sebuleni kuongea maongezi...
Habari wa JF
Naomba nisiwachoshe, kama kichwa kinavyojieleza naomba kujuzwa kama kuna Taasisi,mtu binasfi au mashirika yanayotoa mkopo hata kwa riba nafuu nipo tayari
Maisha yangu binafsi
Ni mfanyakazi katika kituo flani cha afya mtu binafsi
Naomba msaada wenu
Inawezekana vyombo vingine venye kutuonesha matangazo ya mpira (Kombe la Dunia) vimeshindwa kwasababu tofauti, ila TBC wamejitahidi kuturidhisha kwenye kipindi hiki cha hali ngumu ya upatikanaji wa maji na umeme kwa wakati.
TBC oyeeeeee, TBC safiiiiiiii!
Habari wana jamvi
Natumaini kichwa cha habari kinajieleza ni takribani kama siku ya pili leo mke wangu amekuwa mkali kila nikijisogeza nyumbani ni story za kunichamba na kunitukana baada ya kuona utupu wangu(bakora yake) nikimtumia jimama na jimama likitumia papuchi yake naakua mtu ninaeshinda...
Habari ndugu zangu wana JF health
Katika mihangaiko yangu leo nimepata offer na mshangazi mmoja hivi.... sasa nipo kwenye dozi ya malaria natumia sindano artmether injection (ARH-A) sasa kama kawaida mjishangazi huo unataka tunywe pombe je ntapata madhara gani wakati huo huo nipo kwenye dozi...
Habari watu wa JF,
Naomba kupewa ufafanuzi kwanini nyama iliyofunika jicho ya juu huwa inatetema kwa muda mara kadhaa imekua ikijirudia.
Hii au inamaana gani kutokea hivi au ni tatizo pia?
Natanguliza shukrani karibu.
Kuna baadhi ya watu wanaosifia SUPER GRO na wengine kutoisifia kwa utendaji wake wa kazi kua ni mbovu
Ningependa kukaribisha maswali kuhusu SUPER GRO.
Karibuni....
Kupungua nguvu za kiume
Uhusiano wa matatizo ya nguvu za kiume na presha ya kupanda ni mkubwa sana. Kwa nini kuna uhusiano mkubwa? Presha ya kupanda husababisha damu ndogo sana kutiririka ndani ya uume. Uume unatakiwa upokee damu ya kutosha tena yenye kuja kwa nguvu au kasi ili uweze kusimama...
CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO
(shingo,mgongo,miguu,misuli kuvuta)
WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII
1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini
SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani...
Habari wataalam kuna mtoto wa miaka miwilina miezi mitatu joto lake LA mwili halipungui amepata dawa za malaria na UTI lakini joto bado naomba kujuzwa tatizo ni mini hasa joto ndo linachanganya sana.
kauli zake
"nimechochola kuzaa na wewe"
"nimebugi kuzaa na wewe"
"najuta kuzaa na wewe" pia mwezi wa uliopita alisema hata nikimuacha nisije nikamsumbua kuhusu mtoto"naomba umsahau mpaka mtoto" hii ni kauli yake tena sasa nimechukua jukumu la kuachana nae kilichotokea sasa!!!!ananiomba msamaha...
Napenda kusomea ophthamology and surgery naomba kama kujua kama baadae unaweza kujiendeleza na pia kwa nchi yetu wagonjwa wa namna hii wapo wengi kama wa maalaria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.