namba moja tuu
Senior Member
- May 4, 2017
- 162
- 142
Habari wa JF
Naomba nisiwachoshe, kama kichwa kinavyojieleza naomba kujuzwa kama kuna Taasisi,mtu binasfi au mashirika yanayotoa mkopo hata kwa riba nafuu nipo tayari
Maisha yangu binafsi
Ni mfanyakazi katika kituo flani cha afya mtu binafsi
Naomba msaada wenu
Naomba nisiwachoshe, kama kichwa kinavyojieleza naomba kujuzwa kama kuna Taasisi,mtu binasfi au mashirika yanayotoa mkopo hata kwa riba nafuu nipo tayari
Maisha yangu binafsi
Ni mfanyakazi katika kituo flani cha afya mtu binafsi
Naomba msaada wenu