Nahitaji kupata mkopo(loan)

namba moja tuu

Senior Member
May 4, 2017
162
142
Habari wa JF
Naomba nisiwachoshe, kama kichwa kinavyojieleza naomba kujuzwa kama kuna Taasisi,mtu binasfi au mashirika yanayotoa mkopo hata kwa riba nafuu nipo tayari

Maisha yangu binafsi
Ni mfanyakazi katika kituo flani cha afya mtu binafsi
Naomba msaada wenu
 
Back
Top Bottom