namba moja tuu
Senior Member
- May 4, 2017
- 162
- 142
Habari ndugu zangu wana JF health
Katika mihangaiko yangu leo nimepata offer na mshangazi mmoja hivi.... sasa nipo kwenye dozi ya malaria natumia sindano artmether injection (ARH-A) sasa kama kawaida mjishangazi huo unataka tunywe pombe je ntapata madhara gani wakati huo huo nipo kwenye dozi leo ni siku ya nne nachoma sindano hizo za ant- malaria
Natanguliza shukrani zangu
Katika mihangaiko yangu leo nimepata offer na mshangazi mmoja hivi.... sasa nipo kwenye dozi ya malaria natumia sindano artmether injection (ARH-A) sasa kama kawaida mjishangazi huo unataka tunywe pombe je ntapata madhara gani wakati huo huo nipo kwenye dozi leo ni siku ya nne nachoma sindano hizo za ant- malaria
Natanguliza shukrani zangu