namba moja tuu
Senior Member
- May 4, 2017
- 162
- 142
kauli zake
"nimechochola kuzaa na wewe"
"nimebugi kuzaa na wewe"
"najuta kuzaa na wewe" pia mwezi wa uliopita alisema hata nikimuacha nisije nikamsumbua kuhusu mtoto"naomba umsahau mpaka mtoto" hii ni kauli yake tena sasa nimechukua jukumu la kuachana nae kilichotokea sasa!!!!ananiomba msamaha mpaka analia NIFANYAJE sasa
"nimechochola kuzaa na wewe"
"nimebugi kuzaa na wewe"
"najuta kuzaa na wewe" pia mwezi wa uliopita alisema hata nikimuacha nisije nikamsumbua kuhusu mtoto"naomba umsahau mpaka mtoto" hii ni kauli yake tena sasa nimechukua jukumu la kuachana nae kilichotokea sasa!!!!ananiomba msamaha mpaka analia NIFANYAJE sasa