kujiuza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DR HAYA LAND

    Hizi ndio sababu zinazopelekea wanawake wa wazuri kukosa kuolewa na baadhi yao kujiuza

    Hili jambo la wanawake wenye mwonekano mzuri na umbo kukosa kuolewa na kuishia kuwa malaya lipo kiroho zaidi. Kwanza ieleweke hivi sio wanawake wote wazuri hawana akili au ni Malaya Ila baadhi yao hawana akili na wameishia kuwa michupuko na Malaya. Hipo hivi binadamu anapozaliwa huwa anapewa...
  2. Nyenyere

    Ukahaba uliokithiri vyuo vya elimu ya juu

    Wakuu, maadam suala la ukahaba kwenye vyuo vikuu hapa nchini haipingiki, naomba tujadili leo sababu hasa ya hali kuwa hivyo. Je, ni kupenda maisha ya starehe pekee au kuna sababu nyuma ya pazia?
  3. Execute

    Akina mama acheni kuwasajilia namba watoto wenu wa kike, wanazitumia kwa ajili ya kujiuza

    Nimekutana naye huko badoo akanipa namba basi nikaingia m-pesa kujua jina basi lahaula ni jina la mama mmoja ninayemfahamu. Alipokuja nikambana akasema akitumia namba hiyo hawezi kufahamika kupitia mitandao kwasababu mama yake hatumii instagram, facebook, twitter nk Kwamba anaogopa akitumia...
  4. S

    Kupaa kwa gharama za maisha Uingereza 🇬🇧 🇬🇧 kwawasukuma wanawake wa UK 🇬🇧 🇬🇧 kufanya biashara ya ukahaba ili kupata kula yao

    Idadi ya wanawake wanaojiuza nchini Uingereza imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 30% kutokana na athari za matokeo ya Urusi kupunguza/kukata gesi yake na mafuta yake kwenda nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza. Wanawake hao wanasema wamelazimika kuingia kwenye kuuza nyeti zao kutokana na mfumuko wa...
  5. Ncha Kali

    Neno 'kudanga' linatumika kuhalalisha ukahaba, ni kujiuza tu tusichekelee huku jamii ikiharibikiwa

    Ndugu zangu! Jamii inahitaji kuamshwa kwa kuambiwa ukweli. Waharifu nao hawajabatizwa, kila siku wapo kazini kubuni mbinu mpya za uharibifu. Sijui limetokea wapi, wala sijui kama ni kiswahili sanifu. Kudanga limeshika kasi mno, na limekuwa rahisi kutumika na rika zote bila ukakasi. Lakini...
Back
Top Bottom