kamata

Shoji Kamata (鎌田 正司, Kamata Shōji, born 17 April 1935) is a Japanese basketball player. He competed in the men's tournament at the 1960 Summer Olympics.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Miaka 60 ya Muungano imegubikwa na kamata kamata za polisi kuliko mijadala ya kitaifa? Nani yupo nyuma ya hujuma ya 4R za Rais?

    Vyombo vya habari zimeripoti mambo mengi ya Muungano lakini wananchi wamekataa kujadili na kusambaza habari njema ya uzima wa Muungano. Mtaani hakuna mtu anahangaika na gwaride wala hotuba watu wapo busy kujadili picha za waliopotea. Boniface na Malisa wameteka mijadala ya ndani na muda si...
  2. MK254

    (FSB) Usalama wa taifa Urusi waanza kamata kamata ya makundi ya kiislamu

    Hatimaye Urusi imeanza kuongea lugha moja na dunia, hawa watu sio wa kucheka nao, unacheka nao wanakulipua, wanafundishwa chuki tangia utotoni mpaka wanakua watu wazima unafikiri wewe utawabadilisha leo? Nchi yote imetaharuki, hamna pita pita za wanaume waliovaa mikanzu...
  3. 2019

    Kamata kamata ya sukari itaongeza tatizo kwa walaji, chonde Serikali acheni hii kitu

    Nimesikitika sana asubuhi kusikia viongozi wanajitamba kuwakamata wafanyabiashara wanaouza sukari bei juu...😜😁😁Nachrka kwa dharau. Unamkamata muha,mangi mwenye kirobba cha kg 25 kanunua 100,000 unataka uauzeje sukari? Yeye kanunua duka la jumla, kosa lake ni nini? Yeye hana kiwanda, kwanini...
  4. Meneja Wa Makampuni

    Scholarship zote hizi hapa ushindwe wewe tu

    1. Singapore International Graduate Award (SINGA) https://opportunityportal.info/singapore-government-singa-scholarship/ 2. Deakin University Scholarship https://opportunityportal.info/deakin-university-scholarship-2023/ 3. Boston University Scholarships...
  5. GENTAMYCINE

    Kwa Mwili ule wa Kimbaumbau wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kumpeleka katika Oparesheni Kamata Jezi ni Kumhatarishia tu Maisha yake

    Tafadhali nawaomba Siku zingine msirudie tena au kama mnapenda awe anatumika katika Oparesheni zenu basi anzeni Kumlisha vyema ( Balance Diet ) ili Mwili wake uongezeke na mpeni Ratiba maalum ya kwenda Gym Kuujenga na Kuukomaza Mwili wake akienda tena katika Oparesheni zingine asiwe anapepesuka...
  6. Suley2019

    FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League

    Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri. Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya...
  7. mdukuzi

    Kesi ya Vicky Kamata imetufumbua macho, kumbe Dkt. Likwelile alikuwa akimiliki mali za bilioni 4

    Chenge aliwahi kusema bilioni moja ni vijisenti mkamjia juu,mama tibaijuka akasema ni hela ya mboga tu mkapaza sauti,sasa hukumu iliyosomwa wiki hii katika kesi ya mirathi inayohusu Dkt. likwelile imeonyesha alikuwa akimiliki mali za bilioni 4. Aliwahi kuwa katibu mkuu hazina kwa kipindi kifupi...
  8. Chief Wingia

    Kamata kamata ya mkaa na wauza mkaa kwenye stoo za wauza mkaa mjini ni uonevu

    Habari zenu wanajukwaa, Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba. Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga. Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya...
  9. Pfizer

    Vicky Kamata amewashika Pabaya, tunaomba mumpatie majibu sasa

    Kuna watu wanajikakamua kuongea kutokana na mihemko au kutokana Makasiriko tu. Vicky Kamata anatetea haki yake. Watanzania Tujifunze kubishana kwa hoja. Haja, wale wote wanaohisi wapo sahihi na Vicky hayupo sahihi, yunaomba majibu Yenu.
  10. Pfizer

    Watu wanaomlaumu Vicky Kamata, wanadhani Magufuli alipomtumbua Dkt Servacius Likwelile alimuacha na hela. Bila kujua alilelewa na Vicky

    Katika Uongozi wa Awwmu ya tano, 13 Agosti 2016 aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli alimtengua Dkt Servacius Likwelile, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango(sera) nafasi yake ikachukuliwa na Doto James. 19 Machi 2016 Vicky Kamata alifunga ndoa na Likwelile. Watu...
  11. JanguKamaJangu

    Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

    Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao. Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine...
  12. Nobunaga

    Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

    Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake. Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo...
  13. Msanii

    Kamata kamata isiyo ya haki inayoendelea italeta maafa. Tujiepushe

    IGP Wambura amejikita kwa taaluma yake ya TISS kuhakikisha jeshi la polisi linazima kila sauti inayohoji madudu ya mtawala. Pia wapo wananchi ambao wamechoshwa na dhuluma wanazofanyiwa lakini majibu ya kero hizo ni kuswekwa mahabusu Kamata kamata ya kimya kimya inaendelea. Serikali ijiepushe...
  14. Leak

    Msanii Nay wa Mitego ahojiwa na Polisi na kufunguliwa kesi ya Uchochezi

    Msanii Nay wa Mitego anahojiwa na jeshi la polisi Dar es Salaam kutokana na wimbo wake “AMKENI” Bado najiuliza ni nani anamshauri Rais kutumia hii style kukabiliana na wote ambao hawamsifii? Rais ni kweli umechangua njia hii? Kweli njia nii utaiweza? Utakamata na kuhoji wa ngapi? Rais mbona...
  15. T

    Parking fee kamata kamata

    Wapendwa natumaini hamjambo. Kama kuna mtu anadaiwa parking ya gari inayozidi 10,000. Lipa kabla ya saa nne leo, vinginevyo ukikamatwa gari linapelekwa godown na unalipa laki nne.! Hiyo ni kuanzia leo 04/09/2023
  16. B

    Kamata kamata haiwezi kuwa Suluhu. Mzee Kikwete asikilizwe

    Ama kweli dunia inakwenda kasi sana. Kwamba Dkt. Slaa, balozi wa Hayati Magufuli leo yuko korokoloni tena chini ya awamu ya 6? Ikumbukwe hata kina Mbowe hayakuwakuta ya kuwakuta kwenye awamu ile. Kwa hakika Mh. Kikwette, hata asipoyasemea kwa mara nyingine tena. Chonde chonde enyi mlioko...
  17. R

    Kamata kamata inayoendelea ni maazimio ya Kina Kinana na viongozi wa CCM baada ya kushindwa siasa za majukwaani; ogopa kukataliwa

    Viongozi wote wa CCM wameamua kurudi na kukaa ofisini baada ya kuona kila wanapopita kutetea DP world mambo yanavurugika. Soon after kusarenda wameshauri turudi kwenye mfumo wa Magufuli; lakini pia pressure ya kisiasa iliyopo Afrika kaskazini na Magharibi inatoa piacha kwamba siasa za...
  18. Teko Modise

    Kamata Kamata ya Wakosoaji wa Suala la Bandari: Nani anafuata kukamatwa?

    Jana wamekamatwa Mdude Nyagali na Mwabukusi. Leo kuna tetesi kukamatwa kwa Dr. Slaa tena akiwa nyumbani kwake. Naanza kupata wasiwasi wakosoaji wengi wa suala la bandari watawekwa kolokoloni. Je nani anafuata kukamatwa? Lakini pia hili sio la kwanza kufanyika hata Hayati Magufuli alifanya...
  19. 4

    Mungu anaonya serikali hii , kwa vita hii mmeanzisha kamata watu ,hamtashinda

    Wakuu nawasalim katika yule alie juu ya kila kitu kila mmoja kwa imani yake .Niende kwenye mada moja kwa moja Serikali ya ccm, Naona mmeanza kutangaza vita na wananchi kwa kisingizio cha uhain, kisa watu kukataa MKATABA MBOVU WA BANDARI , mbaya sasa nao vyombo vya dola wanaendelea kutekeza...
  20. W

    Mrembo kutoka Oysterbay aliye kamata moyo wa gwiji la Muziki Tanzania na kuwa famous Tanzania nzima

    Wengi wenu mnatambua nyimbo ya Jabari la Muziki Tanzania Marijan Rajab na nyumbo yake maarufu inayo julikana kama "Georgina " huku wengi mkiwa hamjui story ya nyimbo hiyo kwamba ni ya kweli , Georgina ni nani na kwanini nyimbo hiyo ili tungwa na jabari huyo wa Muziki. Georgina...
Back
Top Bottom