4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 6,105
- 6,916
Wakuu nawasalim katika yule alie juu ya kila kitu kila mmoja kwa imani yake .Niende kwenye mada moja kwa moja
Serikali ya ccm, Naona mmeanza kutangaza vita na wananchi kwa kisingizio cha uhain, kisa watu kukataa MKATABA MBOVU WA BANDARI , mbaya sasa nao vyombo vya dola wanaendelea kutekeza hili kama vile wao walitua toka mwezini na kutua tz .
Zipo taarifa ambazo zinazagaa kwamba , Mdude amekamatwa, Wakili Mwambukusi pia amekatwa ,elewa zama haziko upande wenu , kipindi ichi mnatia moto kwenye mabua yaliyo kauka, vita hivi hamtashinda asema Bwana.
Sasa ujumbe wenu kutoka kwa Mungu kwenu hamtaki acha,
1.Kwadhuluma mnayofanya kwa watanzania kisa ccm na police pamoja na mabunduki yenu kiama kikuu chaja juu yenu(mtalia na kuomboleza) ayo mabunduki yataanza walipukia wenye
2. Mwarabu hataweza miliki mali za watanzania alizoziumba yeye ,yeyote anetumia mabavu katika hili, akatubu kwa imani yake maana kiama juu yake na ukoo wake chaja kwa kasi ya kimbunga
3.Wote wale ambao watateswa , sanifiwa kisa kuzisemea au visemea hadhina ile aliumba ndani ya Tanzania basi wamekumbatiwa mikoni mwake kwa mikono miwili, ila wale wote wakubalio towesha hadhina hii laana ipo juu yao na koo zao
Mwisho , hulazimishwi kukubali au kukataa,chaguo ni lenu .
Tz itaenda kwenye next level na hakuna wa kuzuia asema Bwana
Serikali ya ccm, Naona mmeanza kutangaza vita na wananchi kwa kisingizio cha uhain, kisa watu kukataa MKATABA MBOVU WA BANDARI , mbaya sasa nao vyombo vya dola wanaendelea kutekeza hili kama vile wao walitua toka mwezini na kutua tz .
Zipo taarifa ambazo zinazagaa kwamba , Mdude amekamatwa, Wakili Mwambukusi pia amekatwa ,elewa zama haziko upande wenu , kipindi ichi mnatia moto kwenye mabua yaliyo kauka, vita hivi hamtashinda asema Bwana.
Sasa ujumbe wenu kutoka kwa Mungu kwenu hamtaki acha,
1.Kwadhuluma mnayofanya kwa watanzania kisa ccm na police pamoja na mabunduki yenu kiama kikuu chaja juu yenu(mtalia na kuomboleza) ayo mabunduki yataanza walipukia wenye
2. Mwarabu hataweza miliki mali za watanzania alizoziumba yeye ,yeyote anetumia mabavu katika hili, akatubu kwa imani yake maana kiama juu yake na ukoo wake chaja kwa kasi ya kimbunga
3.Wote wale ambao watateswa , sanifiwa kisa kuzisemea au visemea hadhina ile aliumba ndani ya Tanzania basi wamekumbatiwa mikoni mwake kwa mikono miwili, ila wale wote wakubalio towesha hadhina hii laana ipo juu yao na koo zao
Mwisho , hulazimishwi kukubali au kukataa,chaguo ni lenu .
Tz itaenda kwenye next level na hakuna wa kuzuia asema Bwana