home

  1. Etugrul Bey

    Hivi humu ni Home of great thinkers au...?

    Tahadhar: Huu Uzi Una Sauti kubwa mno kama upo very sensitive pita Kulia! Naona baadhi yetu huenda tumejikuta humu Kwa bahati mbaya Sana,hatuendani na hii platform ambayo imejipambanua kama sehemu yenye watu wenye akili kubwa au maono makubwa Kwa taafsiri isiyo rasmi. Ukimuona mtu anachangia...
  2. Home decoration

    INAUZWA Tunauza Home Decors

    1. Wall picture hizi nzuri
  3. Chizi Maarifa

    MSAADA: Nimepata mgonjwa wa ajabu nyumbani

    Duniani kuna magonjwa mengi mengine ni psychological made. Anyway, mimi nmepokea mgeni ambaye amekuja likizo maalum. Jamaa yangu wa kitambo sana. Ilikuja tu tokea akawa amemaliza chuo kaajiriwa sehemu akafundishwa kunywa pombe...akaja kuwa komba. Wamehangaika naye sana. Mpaka mke amechoka...
  4. Wadiz

    Naomba Pendekezo la kabila la pwani ambalo mwanamke anakaa kitako home na wasio wavigoma na shughuli

    Kwenye mada straight wadau nataka kuchagua kuvuta jiko hitajika la kuishi nalo nataka mtoto wa pwani nshapata inbox kama 50 chuguo langu nataka chombo Cha pwani,kwenye sampuli kuna wafuatao. 1. Mluguru 2. Mkwere 3.Msagara 4.Mzigua 5. Mzaramo 6.Msambaa 7.Mbondei 8. Mdigo 9. Mjikenda 10...
  5. Mp4real

    INAUZWA New homebass refrigerator 2 doors for sale

    Bado ni mpya nimenunuliwa zawadi, lakini mie sina matumizi nayo, thamani yake ni 370,000 ila mimi mtu akinipa 250000 namwachia. Karibu pm.
  6. Ramoth Gilead Appliances

    INAUZWA Ipambe nyumba yako na home appliances nzuri kwa bei nafuu kutoka kwetu

    We tuambie budget yako ni shilling ngapi na unahitaji home appliances ipi tuko kwa ajili yako
  7. Lexus SUV

    No matter what happen to you, never desert your home place

    °°° katika hii vita inayoendelea iliyotenganisha dunia katika sehemu mbili , kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwa binadamu Don't desert your home place °°° as far as "Kuongoza taifa alo zaliwa na wazazi wake katika bonde la umauti.... He has not thinking of deserting his homeland ...
  8. Pascal Mayalla

    Je, tutumie Msiba wa Malkia kama darasa somo la Organization, Simplicity, Humility na Humbleness au tukomae na misafara yetu na ubosi wetu?

    Wanabodi, Huku kwenye mitandao ya kijamii mjadala wa viongozi wetu kupandishwa basi moja ugenini jijini London, kwenye mazishi ya Malkia Elizabeth, imeendelea kushika kasi, hivyo hili ni bandiko la swali. Je, tuutumie somo tulilolipata kwenye Msiba wa Queen Elizabeth kama Shamba Darasa la...
  9. M

    INAUZWA Nauza home decor

    Habari Karibu ujipatie shuka Duvet Duvert cover Carpet Pazia kwa bei poa Tupo ubungo Whatsaap 0746374457 Dar delivery ipo ni juu ya mteja #your taste is here
  10. Komeo Lachuma

    Tofauti ya Hi- Fi System, Home Theater, Subwoofer na Music System

    Rejea kichwa cha Habari Husika. Mimi ni mdau wa muda mrefu wa Jamii Forums na pia Wa Miaka Lukuki wa MUSIC. kwa kweli nimekuwa na uzoefu wa Music miaka mingi nikiwa nimepata sikiliza music toka katika Radio Mbalimbali ambazo zilikuwa njema nitaje chache. 1. Sony 2. Sharp 3. JVC 4. Panasonic Na...
  11. Suley2019

    Home workout special thread (Uzi maalumu wa Mazoezi unayoweza kufanyia nyumbani)

    Salaam Wakuu, Natumai nyote mpo salama. Nimeleta uzi huu kama sehemu ya kujihamasisha mimi na kuwahamasisha wengine kufanya mazoezi Soma: Umuhimu wa kufanya mazoezi Natambau wengi wetu tunatamani kuwa wafanya mazoezi, lakini kwa sababu mbalimbali tumekuwa tunakosa muda kwenda uwanjani au...
  12. T

    Golikipa Beno Kakolanya ni moja kati ya maduka ya Home shopping center (GSM)

    Haina salamu! Moja kwa moja kwenye uzi Hivi benchi la ufundi la timu ya simba linaruhusu vipi hili duka la GSM kuendelea kuidakia timu yetu??!!! Hawa wachezaji tunaowasajili kutokea Yanga si wa kuwamini hata kidogo! Ukiangalia magoli yote mawili ya jana yaliyofungwa na Fiston kaamka mayele...
  13. Moronight walker

    Masama home design, Sijaona kampuni ya Kitanzania zahidi ya hii

    Ukienda Instagram andika "Masama home design" ni kampuni ya kitanzania inahisika na kusanifu majengo ya kisasa, ujenzi na interior design, mimi binafsi sijaona bado kampuni Tanzania zaidi ya hii kama ipo Tuzitaje tushindanishe na hii.
  14. Marumeso

    Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au?

    Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au? ◇ Maduka mengi ya dawa hawauzi hizi Kit. ◇ Yale maduka machache yanayouza unakuta wanauza kimachalemachale kama vile wanavyofanya wauza bangi au gongo, ukiulizia ni lazma huyo muuzaji aangalie kulia na kushoto mithili ya mtu anayetaka kuvuka...
  15. A

    Msaada ::Rafiki yangu akiwa Home anapiga show mbovu ila akiwa Away anapiga show kali sana

    Habari ! Ni rafiki yangu na Ni classmate wangu amenishirikisha hili Jambo la kupiga show mbovu home ila akitoka akienda sehemu yoyote anapiga show kali sana!, Mimi kwa upande wangu nimeshindwa kumpa jibu la kueleweka maana sijui , hivyo humu ndani kuna watu wanaelewa Sana hivyo ningeomba kupata...
  16. Acehood

    I'm leaving home for the coastline

    "Coastline" by Hollow Coves I'm leaving home for the Coastline. Some place under the sun I feel my heart for the first time Cause now I'm moving on yeah, I'm moving on. And there's a place that I've dreamed of Where I can free my mind. I hear the sounds of the season And lose all, sense of...
  17. K

    INAUZWA Steak and cheese sandwitch for party, home and work meetings.

    Karibu ujipatie sandwich tamu kabisa kwa ajili ya nyumbani, sherehe, harusi na kazini. Tunachukua orders ya mapishi pia kwa ajili ya snacks za aina zote.
  18. VMWare-Oracle

    Hisense VS Home Tech

    Habarini wanajamvi! Nilikuwa naomba kujulishwa aina gani ya TV ni bora zaidi kati ya hizo tajwa. Nilikuwa nahitaji TV 43",Hisense nimeambiwa 800,000/=tshs.,Home tech nimeambiwa 680,000/= dukani. Kulingana na bei Hisense ipo juu je vipi kuhusu ubora?Mimi sijui ila Hisense inaweza kuwa bei ila...
  19. Mad Max

    Wapenzi wa Muziki Mzuri: Home Theatre ya Sony vs Soundbar ya Hisense

    Wakuu Mambo. Nataka kununua kati ya Home Theater ya Sony DAV TZ 140 5.1 au Sound Bar ya Hisense HS 281 2.1 Zote mbili bei zinafanana approximately Tsh 450,000/= kila moja. Sony Home Theatre hiyo hapo, Wat 320. Nimeona haina Bluetooth connectivity sijui itafaa? Na Hapa chini ni Hisense...
Back
Top Bottom