A genius is a person who displays exceptional intellectual ability, creative productivity, universality in genres, or originality, typically to a degree that is associated with the achievement of new discoveries or advances in a domain of knowledge. Geniuses may be polymaths who excel across many diverse subjects or may show high achievements in only a single kind of activity.There is no scientifically precise definition of a genius. Sometimes genius is associated with talent, but several authors such as Cesare Lombroso and Arthur Schopenhauer systematically distinguish these terms. Walter Isaacson, biographer of many well-known geniuses, explains that although high intelligence may be a prerequisite, the most common trait that actually defines a genius may be the extraordinary ability to apply creativity and imaginative thinking to almost any situation.
Huwa nikimsikiliza sianzi Kumhukumu kwa Madhaifu yake na yaliyompata ila nakuwa makini sana kusikia kile ambacho anakitoa kutoka katika Kinywa chake na hakika huwa navutiwa mno na Madini yake ambaye unaweza hata usiyapate kutoka kwa PhD Holders, Maprofesa na Wasomi wengine nchini.
Kama akitokea...
Kuna watu hufikiria labda mtu kufanikiwa na kuwa Tajiri sana ni akili na upepo ndio uliomfikisha pale kumbe nyuma kuna watalaam wengi waliomuuzia wazo akalikubali akatia hela na kweli outcomes ikaja. Kwa mfano kina Bahkresa wao wametulia tu makampuni yana management nzuri yanakua.
Yeye haumizi...
Kwa muziki wa bongo Diamond platinum anajua kucheza na mindset za watu ona sasa Sarah wa Kamwambie anavyotrend behind the scenes unaweza kuta ni tukio la kusadikika ila tayari watu washakuwa brainwashed.
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart...
Salaam, Shalom!
Kwanini watu waliotokea kuwa na akili nyingi sana tangu utotoni huitwa geniouses?
Je watu hao, Wana mahusiano yoyote na aliens Kutoka Ulimwengu mwingine?
Na kwanini watambulike kama geniuses wakati Kwa kawaida genius ni Neno linalotokana na genie au jini/ majini?
Kwanini...
Ushauri wake kuhusu chanjo umeendelea kuwaumbua walio hadaa umma kuwa chanjo ya Corona ni muhimu sana.
Haya sasa visa kadhaa vya watu kuganda damu vimeanza kutokea chanzo kikitajwa kuwa ni chanjo. Tunapo elekea wanasayansi watakuja na chanjo ya kuwazimua wote waliochanjwa ili wasipate madhara...
Tanzania ni moja ya nchi mtu anaweza fanya jambo la kawaida sana akaitwa genius au akili kubwa
Mtu anaweza copy kitu wikipedia au kitabu chochote alafu akaongeza ongeza na kingereza chenye misamiati isiyokua na formula basi akaitwa genius
Tanzania na afrika kwa ujumla standard zetu za mambo...
Part one: Kwanini Juma Nature hujibu baadhi ya maswali tofauti na anavyo ulizwa?
Juma Nature ni akili ya kesho. Unahitaji kutumia akili nyingi sana kumuelewa Juma Nature. Ukijaribu kumuelewa Juma Nature kwa kutumia akili ndogo basi hutomuelewa maisha yako yote. This is because, Juma Nature...
Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda okoa mstakabali wa maisha ya binti huyu.
"Kaka Yericko pole na Majukumu, Naomba kaka nisaidie, mtoto huyu kwenye picha anaitwa SIFIKA DANIELY RUBEN, naomba apate Haki zake, Ipo hivi kaka, Nilikuwa natafuta binti wa kazi za ndani, Nikapata binti kutoka...
Maana nashangaa nashindwa kuelewa watu wanawaitaje hawa watu magenius na utawalinganisha vipi na wale ambao wanaweza kujifunza haraka bila kurudia rudia na wana msaada mdogo wa material na walimu.
Unakuta mwanafunzi topic 1 tu anaiwekea nguvu kubwa mnooo! Yaani anairudia rudia sana ili iwe kama...
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda...
Ndani yake huyu jamaa namuona Godzilla(RIP). Ni ngumu sana mapengo kuzibwa ila nimemfuatilia huyu kijana ni genius wa kuandika.. hatumii nguvu nyingi sana,,hakuna kiki za kijingajinga hakuna teaser(vionjo) vya kupima upepo kama wafanyavo wengine.
Anatoa kazi anaachia kazi.. kizuri chajiuza...
Bright and Genius Editors,
P.O. Box 46343,
Dar Es Salaam.
Email: bandg.editors@gmail.com
Phone: +255687746471
22 January 2023.
The Director General,
Tanzania Revenue Authority (TRA),
TRA House, Plot No 3, Block AD, Medeli West,
P.O. Box 2857, Dodoma
Email: jobs@tra.go.tz
Dear Hiring Manager...
BRIGHT AND GENIUS EDITORS
Karibu Bright and Genius Editors tunatoa huduma zifuatazo:
1. Huduma ya kuhariri (kuedit) ripoti mbalimbali, propozo, vitabu, notes na barua mbalimbali.
2. Kuandika barua za kujitoa kwenye mifumo ya vyuo (Deregistration letters)
3. Kuandika barua za kuomba kazi.
4...
zitto kabwe ni mwanaume kwelikweli .anahimili vishindo vyote ! Amepitia majaribio mengi ya hatari lakini hutamuona amepanikii !Pale mnaposema tumemmaliza mnajaribu kuweka sherehe mtakuta asubuhi yupo ! Anazijua siasa za ushindani ,Hana mihemuko Anaimalisha chama chake kimkakati.jembe...
Na sikushangaa wala sijashangaa sana kwani ndiyo maana hata Siku Moja kabla ya Kuapishwa Kwake Rais Mteule wa Kenya Dkt. William Ruto alitumia muda mwingi kufanya Mazungumzo na Rais wa Rwanda 'Genius' Paul Kagame tofauti na wengine ambao aliishia Kuwasalimia tu.
Nimeweza kufuatilia Hotuba...
"Tujikite kwanza katika kujua tujikite na Policy of Prosperity au ile Policy of Interest au twende nazo zote kwa pamoja ili Kuwasaidia Watu Wetu"
"Bila ya kuwa na Mikakati thabiti ya kuhakikisha tunaimarisha Kwanza Regional Marketing na kusisitiza Economic Integration kwa Ukanda wetu bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.