ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,793
- 45,428
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako