Nitajie wasanii wawili Tanzania ambao ni genius sana

Hakuna binadamu anayeweza kutumia nusu ya uwezo wake hata nikola Tesla hakuweza kutumia nusu ya uwezo wake!
Yes wengi hufa hata sehem kidgo ya bongo zao hawajatumia wengi hutumia subconscious mind automated events zilizokwisha kuwa wired , ubongo ulifanya kazi ndogo sana baada ya izo events kuwa wired and copied into subconscious ubongo unakuwa umelala hauna tena kazi labda uamuwe kuamsha ,

Mfano mtu mwez mzima ni unaamka unakutana na watu wale wale, unapanda magari yale yale unaenda sehem ya kazi ile ile mwezi mzima unafanya vitu vile vile , ubongo unakuwa slept maana kila kitu kipo automated ktk subconscious mind , ndo maana unakuta wagonjwa wa akili ni wengi ila bado wanafanya shughuli zao za kila siku, kama kuendesha gari n.k
If you want to use atlest the portion of your brain then you must break the habit of being yourself, utakuwa wa tofauti sana, katika akili zetu kuna kila kitu na ndo maana ukifundishwa chochote unaelewa
 
1. Uno Incredible
2.Stereo

->Kitaa kuna wanyama njoo uone vicheche ukiweza tembeza rungu kama comrade Kipepe
->Wasanii wanaigiza kaole CD sokoni kina dada wanaigiza ulokole miili buchani
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
Wapo wengi mno ila ninaowakubali mimi na ni wasanii wa kweli ni:
1. Uncle Bitchuka
2. Bennovilla Anthony
 
Washabiki wa Nikki mbishi huwa ni mazezeta flan hivi
Hapo wanasema ana degree, wakati ana diploma tu tena ya chuo gan sijui mbeya huko.

Ndio wanamfanya anavimba kichwa ikiwa hamna kitu
Hiyo diploma yenyewe kwani alimaliza sasa, alikula sapu akakimbia sijui kama alisharudi kusapua.
 
Dizasta vina
Leonardo wa cheka tu
Chid benz
Nikki mbishi
Fid Q


Hiphop na comedian kidogo ndo kuna vichwa
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
computer science ukiwa na D mbili za PCB advance unasoma means hata three ya 15 unasoma computer science.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom