Nitajie wasanii wawili Tanzania ambao ni genius sana

Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
Umeuliza Wasanii Genius ama Wasanii wenye Elimu ya Chuo..!?
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
NICAS JOHN MCHUCHE a.k.a Nick Mbishi
Kasoma
Mbeya University of Science and Technology
Alikuwa akisomea Uhandisi wa Kompyuta
Intake ya 2007/2008
Lecturer wao ni Chintelele
Alikaa Block 6B,Ground floor
Chumba namba 10
Perfomance yake Darasani ni kawaida tu.

Je,Genius kisa kasoma Chuo cha Uhandisi ama ?
Ina maana tuliosoma Uhandisi wote ni Geniuses ama!?
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
Mkuu mimi nimekuelewa vema
Sioni haja yakubishana juu ya tafsiri ya neno genius ulivyoitumia kwenye uzi wako
Nataka list iendelee

Note.
Hawa ninaowataja siyo magenius ila ni wasanii ambao walikuwa wapo vizuri sana kweny kile walichokuwa wanakifanya
Yaani passion dedication na kuelewa shabiki wanataka nini.

1.Mbaraka Mwinshehe
2.Rehani Bichuka
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
Genius wa muziki ni Diamond

Wa taalumu zingine za darasani sijui
 
waTz hopeless sana... Kwahio mtu akisoma course/bachelor za science maana yake ni genius...?
😂😅💩💩💩 Mapoyoyo sana nyie, ndio maana mpo nyuma ya dunia...
Lack of exposure
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
nikki mbishi ana dploma mkuu kachukulia MUST hapo
 
Back
Top Bottom