GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,115
- 110,505
Ukishakuwa Philosopher automatically ni Msanii kwa Angle nyingine hasa ya Lugha, Hotuba na Uwasilishaji wa Fikra.Nyerere ni msanii?
Ukishakuwa Philosopher automatically ni Msanii kwa Angle nyingine hasa ya Lugha, Hotuba na Uwasilishaji wa Fikra.Nyerere ni msanii?
👏👏👏👏🏿👏🏿👏🏿1. Fid Q
2. Roma Mkatoliki
🤣🤣🤣🤣🤣Genius niwewe mkuu furahi
Umeuliza Wasanii Genius ama Wasanii wenye Elimu ya Chuo..!?Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
NICAS JOHN MCHUCHE a.k.a Nick MbishiKwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
Yule jamaa ule ufupi na sura yake ilivyokaa kaa ni Mongolian idiot3. Ni waziri ndumbaru
Yes huyu dada ni akili kubwa piaRose muhando
Mkuu mimi nimekuelewa vemaKwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
Genius wa muziki ni DiamondKwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
nikki mbishi ana dploma mkuu kachukulia MUST hapoKwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako