choo

Shin-Soo Choo (Hangul: 추신수; Hanja: 秋信守; Korean pronunciation: [tɕʰu.ɕin.su]; born July 13, 1982) is a South Korean professional baseball outfielder and designated hitter for the SSG Landers of the KBO League. He has played in Major League Baseball (MLB) for the Seattle Mariners, Cleveland Indians, Cincinnati Reds, and Texas Rangers.
Choo was selected as the Most Valuable Player (MVP) and Best Pitcher of the WBSC U-18 Baseball World Cup as South Korea won the event. Choo signed a $1.35 million contract with the Mariners after the championship and converted to the outfield.
In 2018, Choo earned a selection to his first career Major League Baseball All-Star Game. During that season, he safely reached base in 52 consecutive games, the longest such single-season streak in Texas Rangers history. As of 2018, he led all active major league ballplayers in career hit by pitch, with 132.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Poland imeshtuka kuingizwa mtegoni na Marekani Vita ya Urusi na Ukraine

    Kulikuwa na suala la kupata ndege za kivita ili kupeleka Ukraine zikasaidie kupambana na Urusi. Nchi zote zikaingia baridi, halafu Marekani ikasema inafanya majadiliano na Poland ili ikubali kupeleka ndege zake Ukraine. Poland hakutaka kumkatisha tamaa Marekani, ila ikamwambia kuwa haiwezi...
  2. M

    Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na Urusi

    Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na URUSI. Mabeberu walimvimbisha kichwa, hata hakuweza kabisa kuheshimu makucha marefu ya URUSI. Malengo ya MAREKANI na NATO kwa ujumla ilikuwa ni kuitumia UKRAINE katika kujaribu kuidhoofisha URUSI. Ili kufanikisha...
  3. Acehood

    Sink la choo kuelekezwa upande wa mlango

    Wakuu hivi huu mfumo umekaa kitaalamu au ni mazoea tu, sink kuelekezwa upande wa mlango. Vyoo vingi hujengwa hivyo na kuna watu sio wastaarabu akimaliza haja hamwagi maji kuondoa mikojo kwenye floor. Hii kitu inafanya mazingira ya choo kuwa mabaya kwa mtumiaji mwingine kuanza kukanyaga mikojo...
  4. B

    Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

    Rais Putin asaini waraka wa kuamuru majeshi ya Russia kuingia Ukraine kulinda amani ktk majimbo-yenye-uasi ya Luhansk na Donetsk Rais Vladimir Vladimirovich Putin wa Russia amesaini tamko rasmi/ decree kuamrisha majeshi ya Russia kuingia nchi Ukraine katika majimbo Luhansk na Donetsk, ambayo...
  5. Kasomi

    Geita: Akutwa amejinyonga ndani ya nyumba ya wageni inayomilikiwa na mumewe

    KATIKA hali isitokuwa ya kawaida, mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Naomi mkazi wa Mji mdogo wa Katoro Wilayani Geita amekutwa amejinyonga kwa kutumia kamba ya manila ndani ya choo cha nyumba ya kulala wageni inayojulikana kwa jina la Mwananzoka inayomilikiwa na mumewe Siki...
  6. Sky Eclat

    Mama yake ameshafariki ndugu wanamsubiri ajenge choo

    Rafiki yangu ni mtoto wa pekee kwa mama yake. Mama yake ni mwenyeji wa Mtwara. Alikua mfanyabiashara na mzigo aliufuata Kariakoo. Katika mahangaiko ya kukusanya mzigo alikutana na mfanyabiashara kutoka Kaskazini. Walianza mahusiano kwakua mama alikua single. Mzee alikua na familia yake na...
  7. Erythrocyte

    Leo ni Siku ya Matumizi ya Choo Duniani: Je, Tanzania vyoo vinatosheleza mahitaji ya wananchi wake?

    Swali ni hili, je unadhani Nchini Tanzania vyoo vinatosheleza mahitaji ya wananchi wake? Mashuleni, Mahospitalini, Masokoni, Maofisini, vituo vya mabasi hali ikoje?
  8. Dr Matola PhD

    Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

    Makolo mulibwanji?😄😄 NAWEKA REKODI SAWA JE PABLO FRANCO MARTIN, ALIWAHI KUWA KOCHA MSAIDIZI WA REAL MADRID? Taifa limeendelea kudanganywa kwa mara nyingine, naweza kusema hivyo bila shaka. Pia, udhaifu wa wachambuzi wetu katika kulipokea jambo fulani kisha kulifanyia utafiti wa kina...
  9. K

    Ni kipi kinaifanya dawa kuongezeka nguvu pale inapotegwa kwenye mlango wa choo?

    kwa wale wataalam wa ndumba ni kipi huifanya dawa kuwa imara sana pale inapotegeshwa kwenye mlango wa kuingilia chooni
  10. dist111

    Natafuta fundi wa biodigester (Mashimo ya Choo)

    Hello wadau, Nahitaji fundi wa mashimo ya choo kwa sehem zenye maji maji sana. Nadhani wanayaita biodegester. Kama kuna fundi yupo Arusha naomba anipm. Itapendeza akintumia sample picha ya kazi alizowaho fanya (Ikiwa zaidi ya moja itapendeza). Thanks
  11. Chaki na Ubao

    SoC01 Tanzania karne ya 21 bado tunahitaji kuhamasishwa juu ya usafi wa vyoo?

    Eti Choo Jamani, Dah! Moja ya kampeni kubwa kabisa kufanyika katika nchi hii ni “Nyumba Choo”, kampeni inayohamasisha ujenzi na utumiaji wa vyoo bora katika kaya zetu. Haina ubishi, ni suala nyeti hili kwa kulinda afya katika jamii zetu, lakini ninapata ukakasi kidogo na kujiuliza, katika karne...
  12. Chendembe

    Haijakaa sawa kulipia huduma ya choo katika sehemu za huduma za jamii. Litazamwe upya

    Tumekuwa na utaratibu wa kulipia huduma ya choo katika masoko yetu, stendi za mabasi nchini. Mimi nimekuwa najiuliza saana kuhusu utaratibu huo. Mbaya zaidi, ni pale hata wafanyabiashara au wenye ofisi maeneo hayo wanalazimika kulipia huduma hiyo. Inafahamika Wenyee shughuli zao katika sehemu...
  13. LellozWho

    Mfumo wa choo na sababu za magonjwa katika familia

    Sababu kubwa ya magonjwa Kama UTI, SKIN COMPLICATIONS kutoisha katika maisha yetu ya kila siku NB: Kudhani chooni ni mahali pachafu/kinyaa na mpaka kufikia point kwenda na ndala au viatu ni ugonjwa wa a kili. MIMI SINA UJUZI WA UFUNDI Nimejifunza mfumo wa Choo katika makazi yetu hata hasa...
  14. LellozWho

    “PUBLIC TOILET” Ni sahihi kuita Choo cha nyumba binafsi Public toilet?

    Madalali wengi na watu binafsi kwa Tanzania wanatumia neno Public toilet kwenye choo cha wageni katika (residential house) makazi binafsi. hii imekaa sawa?
  15. A

    Nyumba zenye choo cha shimo, choo cha nje zimepitwa na wakati

    Unaishi kwenye nyumba choo kiko nje, usiku wa mvua kubwa ukitaka kwenda kujisaidia ni lazima maji ya mvua yaguse ngozi. Vyoo vingine havina mapaa, ukiwa unajisaidia mvua haikwepeki. Asubuhi unakwenda kuoga na taulo, wanaopita njia wanajua ndiyo unaoga, na taulo lako kila mtu analijua rangi...
  16. Suley2019

    Iringa: Wanafunzi 400 wa Shule ya Msingi hatarini kuhara kutokana na changamoto ya choo kukosa maji

    Wanafunzi zaidi ya 400 wa shule ya msingi Ifwagi, iliyopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wapo hatarini kuugua magonjwa ya kuhara kutokana na shule hiyo kukabiliwa na changamoto ya vyoo, hali inayowalazimu baadhi yao kujisaidia ovyo vichakani. Mkuu wa Mkoa wa Iringa atoa majibu, soma hapa...
  17. J

    Kenya hii ni aibu, mnajengewa hadi vyoo na wazungu?

    Hii pengine inafanyika hata Tanzania sema sijswahi kuiona, nikiiona nitaisema Hii ni aibu wakuu, hii sio miradi ya kufadhiliwa na wazungu, tutazidi kudharaulika Mradi kama huu wananchi wanachangishwa tu fedha kidogo na unajengwa
Back
Top Bottom