Search results

  1. leroy

    Enzi ya Dhahabu ya Muziki wa Afrika Mashariki (2000-2006): Kipindi cha Mapinduzi ya Ubunifu na Ushirikiano

    Bila shaka miaka ya mapema ya 2000 kuanzia 2000 mpaka 2006 ilikuwa ni kipindi cha mapinduzi makubwa katika muziki wa Afrika Mashariki. Ilikuwa ni zama za ubunifu wa hali juu, ushirikiano wa kikanda, na umaarufu wa kimataifa, mara nyingi ikirejelewa kama "enzi ya dhahabu" ya muziki wa Afrika...
  2. leroy

    Unataka uhusiano wako udumu? Soma hapa

    Usiharakishe kuingia kwenye mahusiano mpaka utakapokutana na mtu sahihi ambaye atakupenda bila masharti. Jizawadie, pata mtoko wako mwenyewe, na ujijali. Huna haja ya kuwa kwenye mahusiano ili kufurahia maisha yako. Jambo baya zaidi maishani si kuwa peke yako, bali ni kuishia kuwa na mwenzi...
  3. leroy

    RIP Mpigaji Gitaa Mashuhuri Rigo Star

    Rigobert Bamundele (28 Agosti 1955 - 26 Oktoba 2023), maarufu kama Rigo Star, alikuwa mpiga gitaa na mtunzi wa soukous kutoka Kongo. Alicheza na makundi kadhaa maarufu ya soukous na muziki wa dunia, ikiwa ni pamoja na Viva La Musica ya Papa Wemba, Anti-Choc ya Bozi Boziana, Kanda Bongo Man...
  4. leroy

    Nishauri juu ya TV na Music System

    Nina Bajeti ya 1.5M kwa ajili ya TV 55" na 1M kwa ajili ya Music system. Lengo niviweke Master Bedroom. Naomba pendekezo la options ambazo sitajutia. Kwenye TV preference zangu ni true color quality (Ikiwezekana 8k) na kwenye sound system ni mtetemesho. Natanguliza shukrani
  5. leroy

    Hivi nikimpenda na kumlea mtoto wa nje itakuaje?

    Mtoto wa nje wa mke wangu (first born) bado yuko kwa bibi yake. Najiuliza nikimpenda na kumlea kutakua na madhara gani? Nawasilisha
  6. leroy

    TANESCO Bagamoyo hawana Nguzo

    Kuna wateja tumelipia tangu mwezi wa saba hatujaingiziwa umeme. Chanzo kikuu ni ukosekanaji wa nguzo kwa Mujibu wa Ofisi yao Bagamoyo. Serikali tunaomba iingilie kati.
  7. leroy

    Juliana Shonza aupamba ukurasa wa UDSM

    Kutana na Juliana Shonza kwenye website ya UDSM kama alumni of the month. Hakika ana historia ndefu ya kiuweledi licha ya umri mdogo na wasifu unaoweza kuwa inspire vijana. Hongera dada. NB: Nimeambatanisha PDF ya wasifu.
  8. leroy

    Tofauti ya umeme wa single phase na three phase

    Ndugu wadau naomba kujuzwa kwa mapana juu ya mada hii tukijikita katika 1. Wiring cost katika nyumba 2. Perfomance 3. Gharama za uvutaji umeme toka tanesco Asanteni
  9. leroy

    Why has Botswana been so successful compared to others in Africa?

    A country like Botswana which is basically composed of a single ethnic group (the minorities in Botswana, including whites, Coloureds, Asians, and Khoisan, have zero political aspirations and are such a negligible percentage of the population they can be easily discounted) is the ideal setup in...
  10. leroy

    Wimbo bora Tanzania 2020

    Wakati tukielekea kufunga mwaka napendekeza wimbo wa Darasa ft. Sho Madjozi-I like it uwe wimbo bora 2020.... Nini maoni yako
  11. leroy

    Nifanye nini mwanangu awe mtunzaji bora wa vifaa navyomnunulia?

    Ni siku ya tatu leo nimewanunulia ipad kwa ajili ya michezo na masomo imepasuka kioo. Idadi ya vitu walivyoharibu ndani ya nyumba havihesabiki kuanzia kioo cha televisheni n.k. Enyi wana jamvi nisaidieni ni mbinu ipi nzuri kuwafundisha watoto utunzaji wa vitu hususan vyenye thamani maana...
  12. leroy

    Nimeamini mwanamke mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree.

    Jambo hili kwa sasa ni bayana kabisa hapa nchini.
  13. leroy

    Mwenye kishoka cha SANCHO naomba anitumie inbox

    Nitashukuru sana kwa msaada huu maana nimeitafuta video bila mafanikio.
  14. leroy

    Je, TV hii inaweza kutengenezeka?

    Hali halisi ni kama inavyoonekana kwenye picha, mawimbi upande wa chini. Bado sijajua chanzo ni nini ila nahisi watoto waliharibu. Natanguliza shukran.
  15. leroy

    Nikiwa sina hela nakuwa mnyonge sana

    Unyenyekevu na upole hunitawala sana. Hali hii kitabibu huitwaje?
  16. leroy

    Mambo 10 marufuku kwa wanaume

    1. Kusomesha mchumba 2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako. 3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali. 4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako. 5. Kumwamini mwanamke/mke wako kwa 100% (mwamini kwa mama yako tu kwa kiwango hicho au zaidi) 6. Kumwita...
  17. leroy

    Ipi inaweza kuwa sababu ya msingi kwa upande wa Mwanaume kutokufunga ndoa.

    Amani kwenu waungwana, Kwa wenye mahusiano ya kinyumba kwa muda mrefu na umezaa nae Mtoto/watoto, Jambo lipi la msingi linaweza kumpa sababu mwanaume kukawia kumpeleka mwenzi wake madhabahuni? Natanguliza shukrani
  18. leroy

    Hivi unadhani mimi sitongozwi....

    Kwa wale wajuvi wa mambo. Kauli hii toka kwa mpenzi wako/mkeo/mama watoto wako ina maana gani? Nawasilisha.
  19. leroy

    Mvua za Dar ni Hatari

    Hatari sana.
Back
Top Bottom