Search results

  1. malisak

    Kwanini Sera ya Faragha haizingatiwi?

    Kinachowapelekea watu kujireko video za utupu wawapo faragha ni kitu gan? Tena ikitokea mmeachana mmoja taamua kuachilia picha hizo kwanini tusitiriane? Kwanza najiuliza unapokuwa na UPWIRU wako hivi nguvu ya kuanza kujirekodi unaitolea wapi? Maana najua utakuwa na KIMUHEMUHE cha kukata na...
  2. malisak

    Je, umemsave vipi kwenye simu mwenzi/mpenzi wako?

    Najaribu kuwaza nakosa majibu sahihi, ni kitu gani kinapeleka wanaume kusave wanawake zao majina ya kiume kwenye simu na wanawake pia halikadhalika. Kwani hata kama mnachepukiana si usave jina lake tu halisi badala ya kuweka majina maalum ya kuonesha uhusiano wenu? kama babe, honey, sweetiee...
  3. malisak

    Pishi la maini ya kuku

    Mahitaji Maini ya kuku 1/2 kilo Vitunguu vikubwa 2 Hoho 1 Pilipil 1 Limao 1/2 Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chai Curry powder 1/2 kijiko cha chai Mafuta ya kupikia Matayarisho Safisha maini weka pembeni. Baada ya hapo kaanga vitunguu,swaum na tangawizi pamoja (hakikisha vitunguu visiwe vya...
  4. malisak

    Niulize chakula chochote nikupe dondoo ya namna ya kuandaa!!

    Kama unapenda kufahamu kuhusu vyakula mbalimbali na hujui namna ya kuviandaa njoo kwenye uzi huu uliza nitakujuza kwa wakati.
  5. malisak

    Mwana mpotevu nipokeeni

    Jamani mie mwana mpotevu toka 2020 sijaingia ndio nimerudi najua wengi wageni ila nilikuwepo toka 2006 hamsini kweusi wengi tumepotezana jamani mko wapi akina papak @babykibaki @jeansal6 @esmaralda @mzeemwanakijiji Mimi Mumewangu na wengineo. Mkorogo vyogo wa kurecruit wana FISIEMU...
  6. malisak

    Heko wana uzi wote mnaojitolea mafunzo ya kilimo yamenipa tija

    Wadau mwezi huu mwishoni Mungu akipenda navuna nyanya shambani kwangu Nimejaaliwa kulima heka 3 na zimebeba vizuri. Shamba lipo morogoro eneo la Dakawa. Ninachojivunai zaidi nimejifunzia humu humu Jamii forum kilimo hiki. Heko kwa wote ambao mmekuwa mskijitolea kutoa mafunzo mbali mbali...
  7. malisak

    Faida za choroko na mapishi yake

    Choroko ni moja kati ya nafaka zenye kiwango kikubwa cha protini, madini ya phosphorus na calcium. Ukiachilia mbali faida nyingine, virutubisho hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa afya ya ubongo. Wataalam mbalimbali wamenukuliwa na mtandao wa kesehatan.123.com wakielezea umuhimu wa ulaji wa...
  8. malisak

    Watu wa Tanga nawaita hapa

    Jamani ndugu zangu wa Tanga kwani alietuloga nani? fursa tunazisikia ila hata hatushtuki wanakuja walowezi wanajizolea fursa na sisi tupo hapa hapa kweli, zinatangazwa zabuni mpo kimya mnakuja kukurupuka dakika za majeruhi watu wameshasafirikutoka mikoani mbali huko kukimbilia fursa. Na hata...
  9. malisak

    SoC03 Maabara za Kikandarasi ni uozo na aibu kubwa kwa nchi

    Kuna haja ya serikali kuvipa vipaumbele vitu muhimu ambavyo vitahitajika katika miradi tarajiwa. Serikali inasiaid mikataba mikubwa ambayo ilipitisha muundo na bajeti ya mradi fulani bila kuzingatia mahitaji na vipaumbele vitakavyoleta tija nchini mwetu matokeo yake Fedha za kufanyia shuguli...
  10. malisak

    Ndoto za kweli

    Binafsi sikuwahi kufikiria kabisa kuhusu ndoto. Nilikuwa nachukulia kama mauza uzaza ya uchovu na mawazo ya siku nzima. Ila kuna kitu nimekuja kukigundua kwa namna mbili kwanza ni kuwa sina kawaida ya kuota ota kila wakati na ikitokea naota basi hiyo ndoto inakuwa kweli. Mfano nikiota mtu...
  11. malisak

    Kwani Siku Hizi Hatuli?, Mbona Paka Kalala Jikoni?

    Uzi wa mapishi umedoda jamani watu sijui tupo kwenye mifungo mikavu, rudini kundini tuanzae madigo diko mapya. Mtag mwana mapishi wako pendwa umualike arudi uzini tushee mapishi mapya na kukumbusha ya zamani pia. Kuna lishe za afya na za watoto pia ni vyema tunaukaza uzi wa mekoni.
  12. malisak

    Utaratibu wa kuajiri kwenye miradi yetu nchini sio mzuri

    Kumekuwa na taratibu zisizo rasmi ktk kutoa ajira kwenye miradi mbali mbali ya maendeleo nchini mwetu, licha ya kuwa serikali inataka baadhi ya nafasi kupewa wazawa ili nao wapate ajira na kuendeleza ustawi wa nchi. Badala yake hata nafasi wanazoweza kufanya watanzania wanapewa wageni kwa...
  13. malisak

    Wanachokosea wanaume wakati wa kutongoza

    1. Papara Wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako. 2...
  14. malisak

    Zingatia haya kabla ya kuzama kwenye penzi

    MAPENZI raha yake ni kupendana. Yananoga zaidi wapendanao wanapopendana kwa asilimia mia. Mwanaume ampende mwanamke kwa kiasi hicho, vivyo hivyo mwanamke ampende mwanaume. Hapo ndipo utaiona tamu ya penzi. Wataalamu wa masuala ya uhusiano wanakuambia pendo la kweli halifi (true love never die)...
  15. malisak

    Makosa wanayofanya wanaume walio kwenye ndoa

    Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo. Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako. Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa. Kumsifia rafiki au ndugu wa...
  16. malisak

    Fahamu vitu ambavyo huleta utamu na chachu kwenye mahusiano

    MAPENZI ni matamu, mapenzi yana raha yake haswa ukimpata mtu anayekupenda kama ambavyo wewe unampenda. Kinyume chake, mapenzi hugeuka kuwa shubiri. Yanaumiza lakini suala la msingi, hupaswi kukata tamaa pindi unapokutana na penzi kuwa chungu. Chukulia ni changamoto, usikubali kuishi kwenye...
  17. malisak

    Kufa kufaana

    WATANZANIA TUACHE KUWEKA MASLAHI MBELE TUANGALIE HATMA YA JANGA HILI YARABI AU NDIO KUFA KUFAANA?, JE UNAJUA NA WEWE UTABAKI SALAMA?, SANITIZER KUTOKA 3500 MPK 20,000 KWELI? HATA HOFU YA MUNGU HATUNA KUONA HATMA YA JANGA TUNATAZAMA MATUMBO YETU KWAKWELI WE HAVE TO CHANGE
  18. malisak

    Zijue faida za uaminifu katika mahusiano ya Ndoa

    Suala la uaminifu katika mapenzi kwa karne hii limekuwa kikwazo kikubwa kwa watu wengi sana, wengi wemekuwa si waaminifu wakati mwingine kupelekea mahusiano hayo kufa. Hivyo uaminifu ni muhimu sana katika mapenzi kwa kuwa katika mahusiano ya kimapenzi kuna faida nyingi kwa mwili na akili. Watu...
  19. malisak

    Kama kupendana kwako ni hivi basi tayari umeshapotea

    Msichana mdogo wa miaka 18 aliwahi kuja kwangu na kuniomba msaada. Hakuhitaji msaada mkubwa sana kama mwenyewe alivyosema, kwani alitaka kusaidiwa kupata jibu la swali ambalo lilikuwa likimtatiza kwa muda mrefu. “Nataka kujua maana ya kupenda.” ilikuwa ndiyo kauli yake, fupi na inayoeleweka...
  20. malisak

    Mtambue mwanamke

    Wanaume wengi wanashindwa kutambua wanawake kwa haraka hasa katika sekta ya tongozo. MWanamke ni kiumbe mmoja ambae ni makini sana na ni mgumu kuonesha hisia zake haraka. Unaweza ukamtongoza akakutukana kabisa au akakupa maneno ya kuumiza ila unatakiwa kumsoma kwanza kabla hujafanya maamuzi ya...
Back
Top Bottom