Sehemu ya 1: Kuelewa Msingi wa Uendeshaji wa Biashara
1.1 Ufafanuzi wa Malengo na Mkakati
Kuanzia na msingi wa biashara, ni muhimu kuweka malengo wazi na mkakati wa kufikia malengo hayo. Weka malengo ya shirika lako kwa muda mfupi na mrefu, na hakikisha kuwa yanaambatana na maono yako. Panga...
Israeli ya Kale ni jina la watu au taifa walioitwa taifa teule katika Tanakh au Biblia ya Kiebrania (kwa hiyo pia katika Agano la Kale lililo sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo.
Kihistoria waliishi katika nchi iliyoitwa Kanaani, halafu Israeli (baadaye pia Palestina) kuanzia mnamo 1200 KK...
Yaani wewe uue wenzako Mungu akuache tu! Yaani wewe uonee wenzako Mungu akuache tu!
Kwani wewe ukiwa umejifugia kuku wako huwezi kuwachinja? Kwani kama kuku mmoja ana mdomo wa kula mayai ya kuku wengine, utakuwa unamwacha tu aendelee kusababisha madhara?
Mungu ndio hakimu wa viumbe vyake...
Ndio maana hata wakiwa kazini hawafanyi kazi kwa bidii muda wao mwingi wanatumia kuwaza kubebwa hata wakiharibu kazi.
Wakiharibu kazi hawaogopi maana wanajua watabebwa.
Mheshimiwa Waziri,
Natumai barua hii inakupata ukiwa katika afya njema. Napenda kutumia fursa hii kuelezea umuhimu wa kuanzishwa kwa Bodi ya Wakemia (Chemists Registration Board) nchini Tanzania. Wakemia ni wataalamu muhimu katika sekta ya afya na viwanda, na wana jukumu kubwa la kuhakikisha...
Nina mtoto wa kaka yangu amesoma kozi inaitwa oil and gas engineering pale DIT huu ni mwaka wa tano hana kazi.
Wakati anaanza alimwambia mzazi wake ni kozi yenye fursa kwasababu serikali imeanzisha.
Ni nani alishauri kuanzishwa kwa kozi za mafuta na gesi hapa nchini
Digital chemistry, au kemia ya kidijitali, inahusu matumizi ya teknolojia ya digitali kuchunguza na kuelewa mifumo ya kikemia. Hii inaweza kujumuisha utumiaji wa programu za kompyuta, algorithms, na teknolojia zingine za digitali kusaidia katika uchambuzi wa kimatibabu, maendeleo ya dawa, na...
Matatizo yote ya taifa letu yanatokana na kutokujua kiingereza vizuri na msingi mbovu wa kiingereza.
Huo ndio ukweli lazima tuuseme. Ukiingalia mataifa yote yanayotumia kiingereza kama official language yanatuzidi sana kwenye maendeleo na kutekeleza mambo muhimu.
Watu wao wako very seriously...
Habari wakuu,
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na sifa zifuatazo;
1. Iwe maeneo ya Riverside Dar es Salaam
2. Isiwe mbali sana na stendi ya Riverside
2. Iwe na chumba kimoja master na sebure
3. Iwe na Tiles na madirisha ya Aluminium
Nipo tayari kwa bei yoyote.
Acheni janjajanja za kisiasa
Acheni janjajanja za kisiasa na badala yake jikite katika masuala ya msingi na maendeleo ya wananchi. Epusheni siasa za matusi, ugomvi wa kibinafsi, na uzushi ambao hauchochei maendeleo na umoja wa taifa. Jitahidini kuwa wabunifu, na wajibika katika kuwasilisha...
Habari wapendwa,
Kuna ndugu yangu ameitwa kwenye usaili nafasi ya Afisa Utamaduni II (Cultural Officer Grade II) anauliza kama kuna yeyote alishawahi kuitwa kwenye usaili wa kuandika kwa nafasi hiyo ni maswali gani yanapendelewa kuulizwa kwenye mtihani wa kuandika?.
Natanguliza shukrani huku...
Dear Headmaster,
REF: Application for Physics and Chemistry teaching position at your school.
I am writing to express my strong interest in the physics and chemistry teaching position at your esteemed school. As a highly qualified and dedicated teacher, I am confident that my skills and...
Nimefanikiwa kuitwa kwenye nafasi ya Laboratory Scientist, Physical Chemistry, Open University.
Nilitaka kufaham kwenye nafasi kama hiyo kunawezakuwa na maswali ya namna gani
Nawasilisha
Ili kuokoa muda na gharama za kuajiri, tuziache taasisi za serikali ziajiri zenyewe kama zamani.
Utaratibu wa kuitumia Sekretarieti ya Ajira kushughulikia ajira za taasisi zote zilizopo Tanzania ni kupoteza muda wa kuajiri na kuita watu kwenye usaili.
Kuajiri kunachukua muda mrefu sana.
Kumekua na utaratibu ambao unazilazimisha taasisi zote za serikali kuwatumia sekretarieti ya ajira kufanya mchakato mzima wa kuajiri kila wakati ambao taasisi hizo zinahitaji kuajiri.
Lakini mfumo huu una mapungufu makubwa sana.
Kwanza unachelewa sana kuajiri wafanyakazi wapya kwasababu...
Mambo zenu wakubwa,
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Mimi ni kijana mwezenu nina shahada ya fizikia na kemia. Shahada yangu nilifaulu vizuri sana kwa GPA ya 4.
A-level nilifaulu vizuri masomo ya PCM yaani Physics, Chemistry na Mathematics.
Nimebobea vizuri sana katika masomo ya Physics...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.