Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimesafiri umbali mrefu sana kwenda angaza kupima HIV na kwa bahati nzuri majibu yamekuja negative. Hii ni hatua muhimu kwenye ya kuwa makini na kujilinda. Asikwambie mtu kusubiri hayo majibu...
6 Reactions
15 Replies
277 Views
Uchambuzi wa kitabu cha Lisa EATING TO CONCEIVE, (Kula Upate Mimba) Kanuni ya 16 na ya Mwisho:Usitumie Vyombo vya Plastiki, Husabisha Ugumba 1. Mwandishi Lisa anasema *usitumie vyombo vya...
2 Reactions
4 Replies
96 Views
Habari ndgu zangu niliumia mazoezini December 2022 goti likavimba baadae nikaenda hospital nikafanya vipimo kama x ray,MRI ya goti ikabainika nimepata impacted Trabecular fracture on medial tibia...
1 Reactions
6 Replies
107 Views
Bila shaka umewahi kuwasikia wataalamu wa afya wakisisitiza umuhimu wa wenza kufanya vipimo mbalimbali kabla ya kuamua kuwa pamoja kwa ajili ya kutengeneza familia (kuzaa). Moja ya vipimo...
9 Reactions
15 Replies
274 Views
Wanajamvi i hope mpo poa, kuna njia ya uzazi wa mpango inaitwa withdrawal, unapokaribia kufika kileleni unauchomoa uume na kumwaga manii nje ya uke, sasa kwangu hii njia imekua complete failure...
6 Reactions
148 Replies
47K Views
Je, ni muda gani sahihi kwa mwanamke aliyejifungua kwa njia ya upasuaji anatakiwa kushiriki tendo la ndoa? Ni miezi mitano sasa imepita tangu mke wangu ajifungue mtoto kwa njia ya upasuaji, hivyo...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Mimi ni mwanamke, 30 yrs mwenye usonji. Jamii/familia yangu wanaona sina tatizo sababu shuleni nilikuwa nafaulu vizuri. Ninapitia changamoto nyingi mnoo. Kuna wakati nahisi kukata tamaa...
12 Reactions
84 Replies
3K Views
Wengi hufikiri na kudhania kwamba hii hutokana na kamwagiwa ndani katika kipindi cha Ujauzito. ONDOA HOFU, hali hiyo Kitaalamu hujulikana kama “Vernix Caseosa” ambao ni utando mweupe unaomzunguka...
1 Reactions
2 Replies
103 Views
Kama unasumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu bila nafuu, Nina tiba ya asili itakuponesha ndani ya mwezi mmoja tu, kama ulikuwa Hulu baadhi ya vyakula utakula Kila kitu na mabadiliko...
5 Reactions
16 Replies
815 Views
Linapokuja suala la afya ya wanaume, saratani ya kibofu cha mkojo inachukua nafasi kubwa. Ni aina ya pili ya saratani inayogunduliwa kwa wingi kwa wanaume duniani kote, ikifuatiwa na saratani ya...
1 Reactions
1 Replies
100 Views
Hello wataalamu ,ngozi ya mtoto ya vidole vya mikono vimekakama na kumenyeka ngozi nimpake dawa gani wataalamu
0 Reactions
7 Replies
108 Views
Nina maumivu makali ya nyonga Maumivu makali chini ya kitovu (kwa pembeni) Mkojo ni wenye harufu mbaya kupita kiasi Nilishaweka mkojo kwenye container, kesho yake nikakuta unatoa wadudu (Funza)...
1 Reactions
41 Replies
973 Views
"Habari viongozi, polen na majukumu, samahani naomba msaadq wadau mwenye kujua dawa......nasumbuliwa sana na tatizo la tumbo kujaa gas kwa muda sasa, dawa za hospitali zimeshindikana na nimepima...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Baaada ya kulikojoa miezi iliyopita Nikaona haina haja kurudi hospital kufanya chekup kwasababu maumivu yalishaisha Jana nikaenda kupima UTI.baaade nikakumbuka nicheki hali yangu ya Figo ikoje...
5 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu, Naomba mwenye mawasiliano ya daktari wa tiba asili nimevunjika mkono hali ni mbaya maana ninivyosikia tiba yao ni ndani ya wiki mbili tu no operation no kuweka chuma na unakuwa...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Mwanang wa pekee amefariki masiku machache yaliyopita kwa kinachosadikiwa ni neumonia Toka azaliwe alikuwa na afya njema ila ghafla alipoamka asubh saa 3 akanyonya vizuri kidogo. Ghafla akabanwa...
5 Reactions
52 Replies
756 Views
Nasumbuliwa na maumivu upande wa kushoto yaliyonianza baada ya kuumia uwanjan wakat nacheza mpira.. Wakati nimeruka juu mchezaj wa tim pinzan alinipga maeneo ya kifua upande wa kushoto...
1 Reactions
5 Replies
123 Views
Je umeshawahi kukutana na mwanamke mwenye ndevu nyingi? Bila shaka, jibu ni NDIYO. Hilo ni tatizo la kiafya ambalo hujulikana kwa kitaalamu kama Hirsutism. Leo tujifunze kuhusu sababu za...
1 Reactions
0 Replies
105 Views
Nahitaji msaada na ushauri wenu wa dhati WAKUU,kuna kitu huwa kinanisumbua Sana sielewi tatizo NI nini.kwenye Koo LANGU KUNA kitu nakisikia Kama kimekwama Sasa nashindwa kuelewa NI kitu gani maana...
3 Reactions
53 Replies
44K Views
Kunywa maji wewe
8 Reactions
87 Replies
1K Views
Back
Top Bottom