Choo kigumu (kama jiwe)

Wakuu mimi nikijana mdog tu sana hata 22 sijafika najitegemea ila nimepatwa na hili janga choo nakiona kuzimu kila nikibanwa na gogo natamani nijifiche

Kwanza mimi sio mlaji sana haswa kunakipindi najikuta maokoto jau hivyo napiga mlo mmoja ila nikipata pia najibutua chakula changu ni chips, dagaaa wali au ugali (hivyo ndivyo nakula sana maana sipendi nyama pia sipendi majani)

Nipipopqnga choo sio privacy sanaa hivyo najitahidi kwenda kuliangusha mida ya saa5 au 6

Ila tatizo situation kama hizo napitaga hata siku2 au 3 sometime 6 sijasign na hasa nikifikiria maumivu duh naona bora nijipange kwanza ila nikiinga afe kipa afr beki lazima niliangushe

Nimeleta uzi kwa shida ya leo bwana nimeingia msalani gogo zito hapo sijasign leo siku ya 3 bwana kamua kamua wapi nikasema sitoki kapa oya wadada na wamama shikamooni maana ile ni zaidi ya kuzaq kitu kigumu alafu kinene kama mguu wa mtoto wa miaka 5 oya shida niliyopata siwezi kuwaeleza ila damu ilidondoka (hata mara y mwisho damu zilidondoka matone) kigogo kikagonga sink nikasikiaa koooooo nikasubiri damu ikate nikajisafisha nikatoka

Sasa hapa ndio naomba ushauri kwa mtu mwenye kipato kidogo afanyaje kuepuka hizi hali maana ni majanga hapa nikifikiri kuna siku nitahitajika kurudi kule natamani nisile kabisaaa

Ushauri

View attachment 2974630
Pole Kwa changamoto unayopitia kama ulikuwa huli matunda kula matunda ya kutosha,mboga majani pia pamoja na maji safi na salama kunywa ya kutosha Kisha unaweza kumwona daktari Kwa ushauri na Toba pia.
 
Pole, jitahidi kula walau milo miwili kila siku kama hali ngumu ya maisha, jitahidi kuhuzulia chooni kila siku ila jikaze, usitumie nguvu sana kupush mzigo subiri usogee wenyewe mlangoni ndiyo upush, matunda na mbogamboga za kutosha.
 
Punguza stress, kunywa maji, usikae mda mrefu bila kazi hasa kama unafanya kazi za ofisi, kula balanced diet, usile mlo mmoja, usile ugali kila siku, kunywa maji ya uvuguvugu especially kama ukiona huja visit msalani kwa mda mrefu.

Pia mix chakula chenye fibres nyingi kama mboga za majani na matunda. Or else bawasili itakukumba mda sio mrefu.
 
io ratiba yako na aina ya msosi ndo chanzo cha tatizo,,nenda pharmacy wambie shda ako,watukupa vidonge au mafuta fulani iv(note:bora vidonge ayo mafuta kumeza ni kimbembe),,mie nilipona kwa njia io
 
Vidonda vya tumbo
Acid reflux au bawasiri inakunyemelea
Kunywa Maji kabla ya chakula hakikisha unaanza kula matunda ndio ule chakula hasa parachichi,ndiz na papai
Duh aisee
Pole Kwa changamoto unayopitia kama ulikuwa huli matunda kula matunda ya kutosha,mboga majani pia pamoja na maji safi na salama kunywa ya kutosha Kisha unaweza kumwona daktari Kwa ushauri na Toba pia.
Siku mbili tatu hizi maji yamekuwa mtihani so ngoja nijitahidi mahana hapa najikaza kama mtoto wa kiume ile ule mziki hapa nikikaq nausikia
Tumia anusol
Naipataje??
Pole sana, badamu bamemwagika, kipa katoka golini tayari
Sijaelewa
Pole, jitahidi kula walau milo miwili kila siku kama hali ngumu ya maisha, jitahidi kuhuzulia chooni kila siku ila jikaze, usitumie nguvu sana kupush mzigo subiri usogee wenyewe mlangoni ndiyo upush, matunda na mbogamboga za kutosha.
Lakini kaka sininaweza kuvuka angalau siku moja maana dah kwa shughuli ya leo na kesho niende kweli?
Ila nitajitahidi kunywa maji na kula msosi kdg sana
Hakuna wakati mgumu kama.pale ambapo kimba limetoka kidogo sasa linagoma kuendelea kutoka na kulirudisha ndani huwezi inabidi kuwa kama unabana valve kulikata ulitoe vipandevipande
Hahhahhab hoya mm hata kutoka tu kdg mtihani unapush ukichungulia kama hujafanya lolote hapa naugulia tu maana nilihisi baada ya ile shughuli nakuwa kilema sio jwa maumivu yale
Jaribu kupunguza na gubu broh, linachangia mtu kuwa na constipation
Dah kunakiazi mmoja amesababisha loss kubwa sana mpaka nimeshindwa kuwa stable kiuchumi nilimuwaza sana
Apo sasa ni kupatwa kwa kinyeo.
Hahh ila we jamaa unadhani masihara ipo siku yatakukuta utatumq mpaka video kipindi unatapatapa hapa JF maana kama huna moyo wa kiume kutoboa pale mtihani
🤣🤣🤣🤣🤣mkuu kimbaa la mapera ni mara mbili ya hiyo yako niliwahi kuvaa suruali mzigo unachungulia nnje kama nch mbili hivi asee pole kwa changamoto jitahidi kula matunda..
Kwaiyo ulienda kwa docta au?
Hii inanikumbusha memba mmoja alileta uzi kama huu. Ila yeye alikuwa anamogoa hiyo kitu na mkono!
Duu
Punguza stress, kunywa maji, usikae mda mrefu bila kazi hasa kama unafanya kazi za ofisi, kula balanced diet, usile mlo mmoja, usile ugali kila siku, kunywa maji ya uvuguvugu especially kama ukiona huja visit msalani kwa mda mrefu.

Pia mix chakula chenye fibres nyingi kama mboga za majani na matunda. Or else bawasili itakukumba mda sio mrefu.
Mkuu mm ni software developer so mda mwingi nimekaa pia napenda ugali na dagaa ila si hii nitakuwa nakunywa maji nakula then nakunywa maji na kipende cha papai swadakta
Ikipita siku sijaenda hata kama sisikii chochote kesho yake nitaenda tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom