Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,149
- 2,274
Saiv una malinda bado?Wakuu mimi nikijana mdog tu sana hata 22 sijafika najitegemea ila nimepatwa na hili janga choo nakiona kuzimu kila nikibanwa na gogo natamani nijifiche
Kwanza mimi sio mlaji sana haswa kunakipindi najikuta maokoto jau hivyo napiga mlo mmoja ila nikipata pia najibutua chakula changu ni chips, dagaaa wali au ugali (hivyo ndivyo nakula sana maana sipendi nyama pia sipendi majani)
Nipipopqnga choo sio privacy sanaa hivyo najitahidi kwenda kuliangusha mida ya saa5 au 6
Ila tatizo situation kama hizo napitaga hata siku2 au 3 sometime 6 sijasign na hasa nikifikiria maumivu duh naona bora nijipange kwanza ila nikiinga afe kipa afr beki lazima niliangushe
Nimeleta uzi kwa shida ya leo bwana nimeingia msalani gogo zito hapo sijasign leo siku ya 3 bwana kamua kamua wapi nikasema sitoki kapa oya wadada na wamama shikamooni maana ile ni zaidi ya kuzaq kitu kigumu alafu kinene kama mguu wa mtoto wa miaka 5 oya shida niliyopata siwezi kuwaeleza ila damu ilidondoka (hata mara y mwisho damu zilidondoka matone) kigogo kikagonga sink nikasikiaa koooooo nikasubiri damu ikate nikajisafisha nikatoka
Sasa hapa ndio naomba ushauri kwa mtu mwenye kipato kidogo afanyaje kuepuka hizi hali maana ni majanga hapa nikifikiri kuna siku nitahitajika kurudi kule natamani nisile kabisaaa
Ushauri
View attachment 2974630