kalanga1
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 318
- 424
Habarini wapendwa, naombeni msaada wenu, kipindi cha nyuma mimi niliwahi kusumbuliwa na tatizo la umeng'enyaji chakula, nilikuwa najisaidia choo kigumu sana, nikaambiwa na doctor kuwa nina tatizo kwenye mfumo wa umeng'enyaji chakula, chakula hakimeng'enywi inavyotakiwa, nikapewa dawa tatizo hilo likaisha.
Lakini sasa kuna siku najisaidia nikapata choo kigumu sana nikachanika sehemu ya haja kubwa halafu kuna linyama likaning'inia chini, nikaanza kuuguza kidonda pale nilipochanika, kidonda kikapona lakini lile linyama bado lipo.
Nilienda hospital nikapewa anisol niwe napaka, nimepaka tube 2 bado hakijatoka, nikaanza kupaka mafuta ya mnyonyo bdo hiyo nyama ipo tu, nikaanza mafuta ya mzaituni bdo hiyo nyama ipo tu. Je nifanyaje?
Naombeni msaada wenu, na kuna kipindi nikiigusa hiyo nyama nahisi maumivu. Ahsanteni
Lakini sasa kuna siku najisaidia nikapata choo kigumu sana nikachanika sehemu ya haja kubwa halafu kuna linyama likaning'inia chini, nikaanza kuuguza kidonda pale nilipochanika, kidonda kikapona lakini lile linyama bado lipo.
Nilienda hospital nikapewa anisol niwe napaka, nimepaka tube 2 bado hakijatoka, nikaanza kupaka mafuta ya mnyonyo bdo hiyo nyama ipo tu, nikaanza mafuta ya mzaituni bdo hiyo nyama ipo tu. Je nifanyaje?
Naombeni msaada wenu, na kuna kipindi nikiigusa hiyo nyama nahisi maumivu. Ahsanteni