Mtu porii
Member
- Jan 29, 2024
- 39
- 127
Nasumbuliwa na maumivu upande wa kushoto yaliyonianza baada ya kuumia uwanjan wakat nacheza mpira..
Wakati nimeruka juu mchezaj wa tim pinzan alinipga maeneo ya kifua upande wa kushoto..
Nilienda hosptal nikapiga X ray, nikapima vidonda vya tumbo..nkiawa sina na X ray haina shida..
Nikaenda Benjamin mkapa nikapima Kipimo cha moyo ECG na ECHO sina tatzo lolote
Ila bado napata maumiv upande wa kushoto maeneo ya moyo hususan kama kuna barid kali maumivu huzid.. kama nikinywa energy maumiv pia huzid japo kwa sasa nimeacha..
Naomba ushaur wenu mana Mana sijapata muafaka wa suala langu
Wakati nimeruka juu mchezaj wa tim pinzan alinipga maeneo ya kifua upande wa kushoto..
Nilienda hosptal nikapiga X ray, nikapima vidonda vya tumbo..nkiawa sina na X ray haina shida..
Nikaenda Benjamin mkapa nikapima Kipimo cha moyo ECG na ECHO sina tatzo lolote
Ila bado napata maumiv upande wa kushoto maeneo ya moyo hususan kama kuna barid kali maumivu huzid.. kama nikinywa energy maumiv pia huzid japo kwa sasa nimeacha..
Naomba ushaur wenu mana Mana sijapata muafaka wa suala langu