Msaada: Napatwa na maumivu makali kifuani kama nachomwa kisu

relyyy

New Member
Jan 21, 2023
2
7
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa, kwa mbali panafanya kama uvimbe.

Hali hii nimesumbuka hospitali bila msaada wowote, napewa dawa za maumivu sababu vipimo nilivyopima ni Echo na ECG navyo nimeambiwa viko normal kabisa.

Sasa hivi maumivu yamehamia upande wa kulia kama nachomwa kisu au nakandamizwa, au napigwa na chuma, x ray pia nimepiga hamna kitu.

Nisaidieni mawazo ndugu zangu nateseka.
 
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa.kwa mbali panafanya kama uvimbe.hali Ile nimesumbuka hsp bila msaaada...
Pole sana mkuu.. Jaribu kwenda hospitali kubwa onana na maspecialist ikiwezekana fika JKCI kwa uchunguzi zaidi, usipuuzie..
 
Sasa sikia nikuambie Maumivu ya Kifua yanaweza kuwa yale yatokanayo na

1/ Moyo yaan Cardiac Chest Pain (CCP), haya kisababishi ni Moyo na kwakuwa ulipoenda tayari wame rule out possible cardiac causes Kwa Echo na ECG, ulitakiwa ufanye Vipimo vingine vinavyoangalia 👇👇

2/Yasiyotokana na Moyo yaan Non cardiac Chest Pain ( NCCP). Haya maumivu Mara nyingi husababishwa na Shida ya KOO LA CHAKULA na wengi huwa na shida ya Gastro-Oesophageal Reflux Disease (GERD), Ingawa pia matatizo haya ya NCCP yapo mbalimbali kama vile Msongo sugu wa mawazo, hypersensitivity kwenye Koo la Chakula, Maambukizi, Spasms n.k

Mara nyingi watu wenye Uzito mkubwa, wavuta sigara, pombe, watumishi sugu wa dawa za panado na NSAIDs ndio hupata sana shida hii ya maumivu ya NCCP.

Wagonjwa wengi hulalamika maumivu ya kuchoma, kama kitu kimekalizwa kifuani mwao, maumivu yanayosambaa kwenye shingo, bega la kushoto, mgongoni, kiungulia, Maumivu wakati wa kumeza na Ile hali ya kuwa anacheua cheua. N.k.

Kwa kusema hivyo ilipaswa hapo ulipopimwa ECG na Echo wakuunganishe kwa watu wa Gastroenterology ili waweze ku rule out NCCP.

Kwa lugha nyingine unatakiwa ufanyiwe

Oesophagoscopy

Oesopgageal manometry kuangalia motility yake

N.k kutegemea na watakavyofikia kwenye fikra zao za kitaalam kulingana na Dalili zako.

Wakati Huu, waweza nunua..

Antacid 10mls, unywe Kila baada ya Masaa 8 Kwa siku 5.

Vidonge aina ya Omeprazole 20mg unywe Kila Masaa 12 Asubuhi jioni ...... Fanya hivi Kwa siku 3-5, ukiona maumivu yanapungua basi una GERD.

Utarudi humu, unipe mrejesho, tuone hatua inayofuata!!.

HOSP NI MUHIMU, UENDE BABU!!.
 
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa, kwa mbali panafanya kama uvimbe...
Maumivu ya kifua yanaweza kutokana na kitu chochote kuanzia kwenye ngozi ya kifua/mbele mpaka unapotoka kwenye ngozi nyuma ya kifua/mgongo.

Hivyo hapa utahusisha misuli, mishipa ya damu, mishipa ya fahamu, viungo/organs ndani ya kifua na ngozi inayozunguka viungo husika.

Katika kuelezea maumivu ya kifua huwa ni vyema kueleza:

1: Aina ya maumivu mfano: kubana, kuchoma nk.

2: Maumivu hudumu kwa muda gani yanapotokea?

3: Kwa siku hutokea mara ngapi au huwepo muda wote?

4: Ukifanya nini maumivu hutokea?

5: Ukifanya nini maumivu hupungua?

6: Maumivu haya huwa eneo husika tu au yanaelekea sehemu nyingine?

7: Aina ya kazi unayofanya?

8: Aina ya vyakula unavyotumia na uhusika wa kutokea kwa maumivu?

9: Dalili nyingine zinazohusu kifua wakati una maumivu au bila maumivu?

NB: Majibu ya maswali hapo juu, kuangaliwa kifua na pia kuongeza vipimo atakavyoona vinafaa mtoa huduma ya afya, inaweza kusaidia kufika mwafaka.

Unahitaji muda mzuri wa kusikilizana na mtoa huduma ili kupata mwafaka wa tatizo husika lakini pia kuwa tayari kutoa taarifa sahii.
 
Kafanyiwe kitu kinaitwa oesophagoscopy ikiwa ushafanyiwa vipimo vya awali.

Sikushauri kutumia dawa yoyote kwasasa.

Majibu yakitoka hakuna shida basi naomba urely kwenye kazi ufanyazo ikiwa za nguvu punguza, ukiwa mvutaji wa sigara achana nazo kwanza.

Pombe kali achana nazo jipe muda ukiona dalili zitakuwa vipi kwa kipindi ulipoachana na hayo.

Ikiwa umefanya yote na suluhisho hakuna nenda hospitali kubwa karudie vipimo vya awali.

Pole, utakuwa sawa.
 
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa, kwa mbali panafanya kama uvimbe.

Hali hii nimesumbuka hospitali bila msaaada wowote napewa dawa za maumivu sababu vipimo nilivyopima ni Echo na ECG Navyo nimeambiwa viko normal kabisa...
Pole sana. Ushauri wangu: Kufanyiwa vipimo kama ECO, ECG mara moja tena hospital moja na kikaonyesha huna tatizo usiamini sana.

Nasema hivi nikiwa na uzoefu wa hospital za Bongo na hasa kama ulienda hospital zisizo na sifa au kufanyiwa kipimo na mtaalam asiye na sifa.

Nakushauri ujikusanye, uende hospital inayotambulika, umwone specialist na kama ni vipimo basi ufanyiwe sehemu yenye kuaminika.

Huyo huyo dr ndiyo anaweza kujua una tatizo gani. Kuna sababu nyingi zinazoleta dalili unayosema hivyo hakuna mtu anayeweza kufanya diagnosis ya uhakika kwa kusoma maandishi yako tu.
 
Sasa sikia nikuambie Maumivu ya Kifua yanaweza kua yale yatokanayo na

1/ Moyo yaan Cardiac Chest Pain (CCP). ,haya kisababishi ni Moyo,, na kwakua ulipoenda tayari wame rule out possible cardiac causes Kwa Echo na ECG ,ulitakiwa ufanye Vipimo vingine vinavyoangalia

2/Yasiyotokana na Moyo yaan Noncardiac Chest Pain ( NCCP)... Haya maumivu Mara nyingi husababishwa na Shida ya KOO LA CHAKULA na wengi huwa na shida ya Gastro-Oesophageal Reflux Disease (GERD) , Ingawa pia matatizo haya ya NCCP yapo mbalimbali kama vile Msongo sugu wa mawazo , hypersensitivity kwenye Koo la Chakula, Maambukizi, Spasms n.k

Mara nyingi watu wenye Uzito mkubwa, wavuta sigara, pombe ,watumishi sugu wa dawa za panado na NSAIDs ndio hupata sana shida hii ya maumivu ya NCCP .

Wagonjwa wengi ,hulalamika maumivu ya kuchoma, kama kitu kimekalizwa kifuani mwao , maumivu yanayosambaa kwenye shingo, beg la kushoto ,mgongon, Kiungulia, Maumivu wakati wa kumeza , na Ile hali ya kua anacheua cheua. N.k.

Kwa kusema Ivo ilipaswa hapo ulipopimwa ECG na Echo wakuunganishe Kwa watu wa Gastroenterology ili waweze ku rule out NCCP.

Kwa lugha nyingine unatakiwa ufanyiwe

Oesophagoscopy

Oesopgageal manometry kuangalia motility yake

N.k kutegemea na watakavyofikia kwenye fikra zao za kitaalam kulingana na Dalili zako .

Wakati Huu , waweza nunua ..

Antacid 10mls , unywe Kila baada ya Masaa 8 Kwa siku 5 .

Vidonge aina ya Omeprazole 20mg unywe Kila Masaa 12 Asubuhi jioni ...... Fanya ivi Kwa siku 3-5 , ukiona maumivu yanapungua basi una GERD.

Utarudi humu, unipe mrejesho ,tuone hatua inayofuata .!!.

HOSP NI MUHIMU, UENDE BABU!!.
Chief,Probability kubwa ya Namna anavyoeleza Mleta mada Nashawishika kuwa ni (CCP) Lakini Tukumbuke ECG,ECHo haziko effective kwenye Ku peak IHD esp Angina kwa sababu ni Pathological error na sio disease....Cardiac biomarkers ni Effective zaidi kwenye kuzi peak IHD na kuzitofautisha whether is angina pekee ama ime complicate kuwa MI....Though detailed history inahotajika pia....Though kwa GERD pia its Possible
 
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa, kwa mbali panafanya kama uvimbe.

Hali hii nimesumbuka hospitali bila msaaada wowote napewa dawa za maumivu sababu vipimo nilivyopima ni Echo na ECG Navyo nimeambiwa viko normal kabisa.

Sasa hivi maumivu yameamia upande wa kulia kama nachomwa kisu, au nakandamizwa, au napigwa na chuma, x ray pia nimepiga hamna kitu.

Nisaidieni mawazo ndugu zangu nateseka.
Pole SANA Ndugu
 
Sasa sikia nikuambie Maumivu ya Kifua yanaweza kua yale yatokanayo na

1/ Moyo yaan Cardiac Chest Pain (CCP). ,haya kisababishi ni Moyo,, na kwakua ulipoenda tayari wame rule out possible cardiac causes Kwa Echo na ECG ,ulitakiwa ufanye Vipimo vingine vinavyoangalia 👇👇

2/Yasiyotokana na Moyo yaan Noncardiac Chest Pain ( NCCP)... Haya maumivu Mara nyingi husababishwa na Shida ya KOO LA CHAKULA na wengi huwa na shida ya Gastro-Oesophageal Reflux Disease (GERD) , Ingawa pia matatizo haya ya NCCP yapo mbalimbali kama vile Msongo sugu wa mawazo , hypersensitivity kwenye Koo la Chakula, Maambukizi, Spasms n.k

Mara nyingi watu wenye Uzito mkubwa, wavuta sigara, pombe ,watumishi sugu wa dawa za panado na NSAIDs ndio hupata sana shida hii ya maumivu ya NCCP .

Wagonjwa wengi ,hulalamika maumivu ya kuchoma, kama kitu kimekalizwa kifuani mwao , maumivu yanayosambaa kwenye shingo, beg la kushoto ,mgongon, Kiungulia, Maumivu wakati wa kumeza , na Ile hali ya kua anacheua cheua. N.k.

Kwa kusema Ivo ilipaswa hapo ulipopimwa ECG na Echo wakuunganishe Kwa watu wa Gastroenterology ili waweze ku rule out NCCP.

Kwa lugha nyingine unatakiwa ufanyiwe

Oesophagoscopy

Oesopgageal manometry kuangalia motility yake

N.k kutegemea na watakavyofikia kwenye fikra zao za kitaalam kulingana na Dalili zako .

Wakati Huu , waweza nunua ..

Antacid 10mls , unywe Kila baada ya Masaa 8 Kwa siku 5 .

Vidonge aina ya Omeprazole 20mg unywe Kila Masaa 12 Asubuhi jioni ...... Fanya ivi Kwa siku 3-5 , ukiona maumivu yanapungua basi una GERD.

Utarudi humu, unipe mrejesho ,tuone hatua inayofuata .!!.

HOSP NI MUHIMU, UENDE BABU!!.
Sawasawa 👍👍
 
Sasa sikia nikuambie Maumivu ya Kifua yanaweza kua yale yatokanayo na

1/ Moyo yaan Cardiac Chest Pain (CCP). ,haya kisababishi ni Moyo,, na kwakua ulipoenda tayari wame rule out possible cardiac causes Kwa Echo na ECG ,ulitakiwa ufanye Vipimo vingine vinavyoangalia

2/Yasiyotokana na Moyo yaan Noncardiac Chest Pain ( NCCP)... Haya maumivu Mara nyingi husababishwa na Shida ya KOO LA CHAKULA na wengi huwa na shida ya Gastro-Oesophageal Reflux Disease (GERD) , Ingawa pia matatizo haya ya NCCP yapo mbalimbali kama vile Msongo sugu wa mawazo , hypersensitivity kwenye Koo la Chakula, Maambukizi, Spasms n.k

Mara nyingi watu wenye Uzito mkubwa, wavuta sigara, pombe ,watumishi sugu wa dawa za panado na NSAIDs ndio hupata sana shida hii ya maumivu ya NCCP .

Wagonjwa wengi ,hulalamika maumivu ya kuchoma, kama kitu kimekalizwa kifuani mwao , maumivu yanayosambaa kwenye shingo, beg la kushoto ,mgongon, Kiungulia, Maumivu wakati wa kumeza , na Ile hali ya kua anacheua cheua. N.k.

Kwa kusema Ivo ilipaswa hapo ulipopimwa ECG na Echo wakuunganishe Kwa watu wa Gastroenterology ili waweze ku rule out NCCP.

Kwa lugha nyingine unatakiwa ufanyiwe

Oesophagoscopy

Oesopgageal manometry kuangalia motility yake

N.k kutegemea na watakavyofikia kwenye fikra zao za kitaalam kulingana na Dalili zako .

Wakati Huu , waweza nunua ..

Antacid 10mls , unywe Kila baada ya Masaa 8 Kwa siku 5 .

Vidonge aina ya Omeprazole 20mg unywe Kila Masaa 12 Asubuhi jioni ...... Fanya ivi Kwa siku 3-5 , ukiona maumivu yanapungua basi una GERD.

Utarudi humu, unipe mrejesho ,tuone hatua inayofuata .!!.

HOSP NI MUHIMU, UENDE BABU!!.
.na ujinga wetu wote kwenye jukwaa Letu la kimasikhara ila nakukubali mwamba kwenye maswala muhimu ya kujenga unatia mchango wako... mungu akuzidishie Kila kheri mkuu
 
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa, kwa mbali panafanya kama uvimbe.

Hali hii nimesumbuka hospitali bila msaaada wowote napewa dawa za maumivu sababu vipimo nilivyopima ni Echo na ECG Navyo nimeambiwa viko normal kabisa.

Sasa hivi maumivu yameamia upande wa kulia kama nachomwa kisu, au nakandamizwa, au napigwa na chuma, x ray pia nimepiga hamna kitu.

Nisaidieni mawazo ndugu zangu nateseka.
Nenda India
 
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa, kwa mbali panafanya kama uvimbe.
Chakula unachokula nani anakupikia?
Badirisha chakula au kula chakula unachopenda usilishwe chakula Cha kupikwa ovyo ovyo ukiweza pika mwenye, hio ni moja na chakula kiwe balanced diet, usiweke chumvi nyingi

Pili tumia tangawizi, kata tafuna kunywa na maji vuguvugu, tangawizi ni anti-inflammatory yaan km unahisi maumivu yenye inakata yale maumivu, pia tumia binzari manjano chuja kwenye maji vuguvugu kunywa ni anti-inflammatory pia inasaidia, baada ya wiki utakua umepona maumivu yatakua yameisha yenyewe

Nakwambia tiba nna uhalisia nao,
Sasa hivi maumivu yameamia upande wa kulia kama nachomwa kisu, au nakandamizwa, au napigwa na chuma,
Hapa jitahidi kila asubuhi unapoamka unakunywa maji yaliyochanganywa na baking soda nusu kijiko cha chakula changanya glass 1 ya maji kunywa kabla hujala kitu chochote yàan ukitoka kuamka tu,

Huu upande wa kulia ukihisi maumivu kwa nyuma hii sehemu ni eneo la Ini hivyo unaposikia maumivu maana yake ini lako linapambana kuondoa sumu zilizolundika mwilini wako

Hii inamaanisha kwamba mwili wako unaujaza sumu zinazo enda moja kwa moja kila sehemu ya mwili alafu ini linaamua kupambana kuziondoa hizo sumu, unakula nini mkuu kinachoangamiza mwili wako energy drinks? Maana unaujaza sumu mwili wako bila sababu za msingi

Kingine kua na Imani, amini kwamba utapona acid reflux limekua ni tatizo la wengi sana, ugonjwa unaoumwa unaitwa Gastroesophageal reflux disease, Mimi sio mbobevu kwenye hii taaluma Ila kwa maelezo yako tumia hizo home remedy labda zitakusaidia pia uamini utapona nna hakika ukitumia hizo home remedy utapata nafuu na ikiwezekena utapona kabisa

Cha kuongezea:

Hakikisha ukishakula haulali yaan hili tatizo huwapata watu ambao yeye akimaliza kula basi hapo hapo anaingia kulala

Hakikisha hauli chakula ukavimbiwa yaan ukala chakula likajaa kupitiliza ingawa pia kwa namna nyingine ni tiba (nitakuelekeza)

Hakikisha haunywi maji mengi baada ya kutoka kula, yaan baada ya kula vuta mda at least saa 1 au 1 na nusu ndio unywe maji na unywe maji kiasi sio maji mengi

Kingine kinachosababisha maumivu hayo ni makemikali yaan km ukilamba kemikali fulani labda unatumia kipodozi fulani ukajisahau kwa bahati mbaya ukapakaa mdomoni kikaenda tumboni ndio shida inaanza hapo mfumo wa usagaji chakula unapata shida

Kufacilitate usagaji wa chakula tumboni tumia Pilipili (mwingine atasema vinaleta vidonda vya tumbo) hapana ili kufacilitate digestion itake place kula Pilipili siku ya kwanza itasumbua Ila siku ya pili utakaa sawa,

Kingine Cha kuongezea, wenye tatizo hili mara nyingi hukosa Choo hata wiki au zaidi kwa hio takataka (kinyesi) zinakua zimejirundika tumboni haziendi kwenye utumbo mpana wala utumbo mdogo ndio zinazokupa maumivu hayo unayoyasikia, kwa hio unazitoaje sasa?

Andaa chakula unachokipenda km wali Samaki au ndizi au chochote, pika ivisha epua kula kikiwa Cha Moto kabisa hakikisha umekula kikiwa Cha Moto hivyo hivyo usikipooze kula mpaka ushibe kabisa yaan useme hapa siwezi kuendelea niliendelea nitatapika

Baaada ya hapo subiri mrejesho utapata choo baada ya kupata choo rudia hatua ya awali tumia home remedy hizo nilizokutajia, within one week utakua sawa menu hakikisha unakula unashiba sio unaonja kula ushibe hadi jasho likutoke
 
Sasa sikia nikuambie Maumivu ya Kifua yanaweza kua yale yatokanayo na

1/ Moyo yaan Cardiac Chest Pain (CCP). ,haya kisababishi ni Moyo,, na kwakua ulipoenda tayari wame rule out possible cardiac causes Kwa Echo na ECG ,ulitakiwa ufanye Vipimo vingine vinavyoangalia

2/Yasiyotokana na Moyo yaan Noncardiac Chest Pain ( NCCP)... Haya maumivu Mara nyingi husababishwa na Shida ya KOO LA CHAKULA na wengi huwa na shida ya Gastro-Oesophageal Reflux Disease (GERD) , Ingawa pia matatizo haya ya NCCP yapo mbalimbali kama vile Msongo sugu wa mawazo , hypersensitivity kwenye Koo la Chakula, Maambukizi, Spasms n.k

Mara nyingi watu wenye Uzito mkubwa, wavuta sigara, pombe ,watumishi sugu wa dawa za panado na NSAIDs ndio hupata sana shida hii ya maumivu ya NCCP .

Wagonjwa wengi ,hulalamika maumivu ya kuchoma, kama kitu kimekalizwa kifuani mwao , maumivu yanayosambaa kwenye shingo, beg la kushoto ,mgongon, Kiungulia, Maumivu wakati wa kumeza , na Ile hali ya kua anacheua cheua. N.k.

Kwa kusema Ivo ilipaswa hapo ulipopimwa ECG na Echo wakuunganishe Kwa watu wa Gastroenterology ili waweze ku rule out NCCP.

Kwa lugha nyingine unatakiwa ufanyiwe

Oesophagoscopy

Oesopgageal manometry kuangalia motility yake

N.k kutegemea na watakavyofikia kwenye fikra zao za kitaalam kulingana na Dalili zako .

Wakati Huu , waweza nunua ..

Antacid 10mls , unywe Kila baada ya Masaa 8 Kwa siku 5 .

Vidonge aina ya Omeprazole 20mg unywe Kila Masaa 12 Asubuhi jioni ...... Fanya ivi Kwa siku 3-5 , ukiona maumivu yanapungua basi una GERD.

Utarudi humu, unipe mrejesho ,tuone hatua inayofuata .!!.

HOSP NI MUHIMU, UENDE BABU!!.
me hii yakifua kuuma nlifanya vipimo vyote fresh ilinsaidia omeprazole
 
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa, kwa mbali panafanya kama uvimbe.

Hali hii nimesumbuka hospitali bila msaaada wowote napewa dawa za maumivu sababu vipimo nilivyopima ni Echo na ECG Navyo nimeambiwa viko normal kabisa.

Sasa hivi maumivu yameamia upande wa kulia kama nachomwa kisu, au nakandamizwa, au napigwa na chuma, x ray pia nimepiga hamna kitu.

Nisaidieni mawazo ndugu zangu nateseka.
Acha kunywa Energy
 
Yasiyotokana na Moyo yaan Noncardiac Chest Pain ( NCCP)... Haya maumivu Mara nyingi husababishwa na Shida ya KOO LA CHAKULA na wengi huwa na shida ya Gastro-Oesophageal Reflux Disease (GERD) , Ingawa pia matatizo haya ya NCCP yapo mbalimbali kama vile Msongo sugu wa mawazo , hypersensitivity kwenye Koo la Chakula, Maambukizi, Spasms n.k

Mara nyingi watu wenye Uzito mkubwa, wavuta sigara, pombe ,watumishi sugu wa dawa za panado na NSAIDs ndio hupata sana shida hii ya maumivu ya NCCP .

Wagonjwa wengi ,hulalamika maumivu ya kuchoma, kama kitu kimekalizwa kifuani mwao , maumivu yanayosambaa kwenye shingo, beg la kushoto ,mgongon, Kiungulia, Maumivu wakati wa kumeza , na Ile hali ya kua anacheua cheua. N.k.

Kwa kusema Ivo ilipaswa hapo ulipopimwa ECG na Echo wakuunganishe Kwa watu wa Gastroenterology ili waweze ku rule out NCCP.

Kwa lugha nyingine unatakiwa ufanyiwe

Oesophagoscopy

Oesopgageal manometry kuangalia motility yake

N.k kutegemea na watakavyofikia kwenye fikra zao za kitaalam kulingana na Dalili zako .

Wakati Huu , waweza nunua ..

Antacid 10mls , unywe Kila baada ya Masaa 8 Kwa siku 5 .

Vidonge aina ya Omeprazole 20mg unywe Kila Masaa 12 Asubuhi jioni ...... Fanya ivi Kwa siku 3-5 , ukiona maumivu yanapungua basi una GERD.

Utarudi humu, unipe mrejesho ,tuone hatua inayofuata .!!.

HOSP NI MUHIMU, UENDE BABU!!.
Huyu tatizo lake itakua ni hili mkuu, hii issue itakua ni acid reflux

Mimi nilipatwa na hili tatizo nilikuja kugundua hio siku nilikunywa Carbonated Soda ilikua ni juice ya matunda zambarau niliipenda nikanywa km 4 hivi tatizo lilianza jioni kuliwaka Moto, Ila Mimi mwenyewe master nikajitibu faster maji vugu vugu tangawizi & tumeric asubuhi saafi nikaweka alkaline ya baking soda glass 1 mchana nipo fresh, kuanzia hapo sinywi tena carbonated soda yaweza ikawa mleta mada anabugia sana ma-energy drink na anavuta Sigara at the same time, hapo acid reflux haikwepeki lazima ikupate
 
Nina tatizo la Maumivu ya kifua upande wa kushoto takriban miezi mitatu sasa, kwa mbali panafanya kama uvimbe.

Hali hii nimesumbuka hospitali bila msaaada wowote napewa dawa za maumivu sababu vipimo nilivyopima ni Echo na ECG Navyo nimeambiwa viko normal kabisa.

Sasa hivi maumivu yameamia upande wa kulia kama nachomwa kisu, au nakandamizwa, au napigwa na chuma, x ray pia nimepiga hamna kitu.

Nisaidieni mawazo ndugu zangu nateseka.
Kazi yako ni nini? Risk factor zipo mingi, pole sana.
 
Back
Top Bottom