chaz beezz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 217
- 843
Je, ni muda gani sahihi kwa mwanamke aliyejifungua kwa njia ya upasuaji anatakiwa kushiriki tendo la ndoa?
Ni miezi mitano sasa imepita tangu mke wangu ajifungue mtoto kwa njia ya upasuaji, hivyo katika kipindi chote hicho nimekua mvumilivu sana katika kumsuburi aweze kuwa sawa na kupona kabisa ili niweze kushiriki naye tendo (minyaduano).
Lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda hisia kali zinanizidi, hamu ya kushiriki tendo inaniijia kila mara ukiangalia siwezi kumsaliti mke wangu, nampenda sana mama watoto.
Tatizo yeye nikimuuliza kuhusu anavyojisikia hali yake kama yuko tayari sasa ili tushiriki tendo anadai bado hayuko tayari kufanya mapenzi.
Hivyo nauliza wakuu ambao mshapitia kipindi kama hiki mlifanyaje au kwa wataalam, je, kiafya ni muda gani sahihi wa kufanya mapenzi kwa mwanamke ambae kajifungua kwa upasuaji?
Ni miezi mitano sasa imepita tangu mke wangu ajifungue mtoto kwa njia ya upasuaji, hivyo katika kipindi chote hicho nimekua mvumilivu sana katika kumsuburi aweze kuwa sawa na kupona kabisa ili niweze kushiriki naye tendo (minyaduano).
Lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda hisia kali zinanizidi, hamu ya kushiriki tendo inaniijia kila mara ukiangalia siwezi kumsaliti mke wangu, nampenda sana mama watoto.
Tatizo yeye nikimuuliza kuhusu anavyojisikia hali yake kama yuko tayari sasa ili tushiriki tendo anadai bado hayuko tayari kufanya mapenzi.
Hivyo nauliza wakuu ambao mshapitia kipindi kama hiki mlifanyaje au kwa wataalam, je, kiafya ni muda gani sahihi wa kufanya mapenzi kwa mwanamke ambae kajifungua kwa upasuaji?