Mrejesho tena. Jiwe kwenye figo

Corluka Neven

JF-Expert Member
Apr 26, 2017
300
276
Baaada ya kulikojoa miezi iliyopita
Nikaona haina haja kurudi hospital kufanya chekup kwasababu maumivu yalishaisha
Jana nikaenda kupima UTI.baaade nikakumbuka nicheki hali yangu ya Figo ikoje (Agakhan)
Majibu yamekuja kama hivi
Bado yamebaki MAWE ma 4
Kubwa lenye 0.47 cm na mengine ya size ya kawaida
Niliambiwa yapo njiani kutoka kwenye Figo na kuelekea njia ya mkojo
Nizingatie maji kwa wingi na dawa
Mateso yanaanza upyaaaa japo sisikii chochote
Yalikua yanasubiri yakuee ndio yaanze kunisumbuaa
IMG_20221224_071839_9.jpg
IMG_20221224_071409_6.jpg
JPEG_20221224_072924_3409114389090420797.jpg
 
Chemsha majani ya mkokomanga changanya na mapera viganja vyako vinne kwenye Lita Moja Kisha kunywa mara tatu kwa siku inarahisika kuyakakata

Au tumia apple cider vinegar inasagasa

Kama imeshishindikana tumia juice ya aloe Vera pamoja na maji mengi.
 
Chemsha majani ya mkokomanga changanya na mapera viganja vyako vinne kwenye Lita Moja Kisha kunywa mara tatu kwa siku inarahisika kuyakakata

Au tumia apple cider vinegar inasagasa

Kama imeshishindikana tumia juice ya aloe Vera pamoja na maji mengi.
Duuu ngoja nikajaribu
 
Baaada ya kulikojoa miezi iliyopita
Nikaona haina haja kurudi hospital kufanya chekup kwasababu maumivu yalishaisha
Jana nikaenda kupima UTI.baaade nikakumbuka nicheki hali yangu ya Figo ikoje (Agakhan)
Majibu yamekuja kama hivi
Bado yamebaki MAWE ma 4
Kubwa lenye 0.47 cm na mengine ya size ya kawaida
Niliambiwa yapo njiani kutoka kwenye Figo na kuelekea njia ya mkojo
Nizingatie maji kwa wingi na dawa
Mateso yanaanza upyaaaa japo sisikii chochote
Yalikua yanasubiri yakuee ndio yaanze kunisumbuaa
View attachment 2456359View attachment 2456361View attachment 2456364
Kidney stones ni mateso
 
MREJESHO TENA
nimeenda kupima nimeambiwa yamebaki mawe ma wili
Dokta kasema mawili itakua umeyakojoa bila kujua cz ni madogo sana
Ushauri alionipa nikunywa maji kwa wingii ili niweze kuyatoa
Dawa alisema nisimeze niache kwanza(dawa siku meza tangu niambiwe yapo yamebaki).
Baada ya siku 30 nirudi tena hospital kufanya Atrasound.
IMG-20230104-WA0005.jpg
IMG-20230104-WA0006.jpg
 
MREJESHO TENA
nimeenda kupima nimeambiwa yamebaki mawe ma wili
Dokta kasema mawili itakua umeyakojoa bila kujua cz ni madogo sana
Ushauri alionipa nikunywa maji kwa wingii ili niweze kuyatoa
Dawa alisema nisimeze niache kwanza(dawa siku meza tangu niambiwe yapo yamebaki).
Baada ya siku 30 nirudi tena hospital kufanya Atrasound.
View attachment 2469096View attachment 2469097
Kweli kila mtu na fani yake ,hapo mimi sioni hata jiwe moja kwenye hiyo picha.
 
MREJESHO TENA
nimeenda kupima nimeambiwa yamebaki mawe ma wili
Dokta kasema mawili itakua umeyakojoa bila kujua cz ni madogo sana
Ushauri alionipa nikunywa maji kwa wingii ili niweze kuyatoa
Dawa alisema nisimeze niache kwanza(dawa siku meza tangu niambiwe yapo yamebaki).
Baada ya siku 30 nirudi tena hospital kufanya Atrasound.
View attachment 2469096View attachment 2469097
Fuata ushauri uliopewa yasipo toka nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia na kuyatoa hayo mawe yaliyobakia uguwa pole.
 
Back
Top Bottom