Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Wanajamvi i hope mpo poa, kuna njia ya uzazi wa mpango inaitwa withdrawal, unapokaribia kufika kileleni unauchomoa uume na kumwaga manii nje ya uke, sasa kwangu hii njia imekua complete failure yaani tangu nianze hii njia nmeweza kufanikiwa mara mbili tu katika mechi 15,
Naombeni msaada wenu kwa ambao mna uzoefu nifanye kitu gani ili niweze kujicontroll nsiishie kumwaga ndani ya uke maana kwa sasa bibie yupo siku salama huenda hii njia ikanicost akifikia siku za hatari...
NB; Kila njia ya mpango wa uzazi ina mapungufu yake ila mimi ninataka niwe mzoefu wa hii njia
Naombeni msaada wenu kwa ambao mna uzoefu nifanye kitu gani ili niweze kujicontroll nsiishie kumwaga ndani ya uke maana kwa sasa bibie yupo siku salama huenda hii njia ikanicost akifikia siku za hatari...
NB; Kila njia ya mpango wa uzazi ina mapungufu yake ila mimi ninataka niwe mzoefu wa hii njia