Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 2,268
- 4,581
Tasnia gani wanalipwa pesa za maana bongo, kwa TZ 5m sio pesa ndogoKama mtangazi ghali zaidi analipwa milioni 5, aisee tasnia hii itakuwa kuna watu wanakula mshahara wa ajabu sana.
Tasnia gani wanalipwa pesa za maana bongo, kwa TZ 5m sio pesa ndogoKama mtangazi ghali zaidi analipwa milioni 5, aisee tasnia hii itakuwa kuna watu wanakula mshahara wa ajabu sana.
Angalia ITV watangazaji wa michezo wamekonda.Kama mtangazi ghali zaidi analipwa milioni 5, aisee tasnia hii itakuwa kuna watu wanakula mshahara wa ajabu sana.
Niko poaahUko poa?
Waongo hawa. Wanataja tu helaHivi unaujuaje mshahara wa mtu?๐ค
Waongo hawa. Wanataja tu hela
Millard Ayo analipwa mamilioni mengi sana na advertising agency. Mara kadhaa ya hiyo 5M.Kumbe hata kila Millard n chamtoto kwake
๐๐๐๐๐๐Bora kukonda,makoti ya watangazaji wa kiume hawabadishi na ni oversize wananunua mitumbani karume buku tano
๐๐๐๐ khaaa jamaniAngalia ITV watangazaji wa michezo wamekonda.
ITV imejifia Tu ๐
Hawa watu hawajiheshimu humu ndani yaani wananisema live live๐๐๐๐๐๐
We mbea sana bintTajeni hiyo mishahara sababu kila mtu anasema yeye analipwa mwingi kuliko mtangazaji yeyote ukiwauliza kiasi gani wanakenua tu
Mfano, Kitenge, Diva washawahi kusema
Ndio ubadilishe koti hill mkuu yaani nimecheka mnoooHawa watu hawajiheshimu humu ndani yaani wananisema live live
Mirathi ni ya familia yake, ambayo itakuwa inaujua mshahara wa ndugu yao.Shaaban Kissu MC wa Taifa ndiye the most paid Radio presenter so far, akiwa TBC Na sasa AMG
Analipwa zaidi ya milioni tano kwa mwezi, sababu ya kuwa hivyo inatokana na kuwahi kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya enzi za Kikwete. Kabla ya kutumbuliwa na JPM.
Kanuni za utumishi ziko wazi ukipandishwa cheo unaweza kushushwa hicho cheo lakini mshahara hautashuka hata kama ulihudumu kwenye hiyo ofisi kwa siku moja tu.
Shaaban Kissu anakula mshahara wa DC kasoro marupurupu, ni mpaka atakapo staaafu utangazaji unless other wise.
Aliyemfuatia kwa karibu alikuwa marehemu Gardna G ambaye mshahara wake sitauweka hapa maana waswahili tunajuana hatuna dogo kwenye mirathi.
Jidanganye,tunazaa na micheouko nje๐ikijua hauna kitu inakausha ila ikijus uliacha mali inakuja na kadi ya clinic na cheti cha ndoa na kuzua taharuki,bado wajomba ,baba wakubwa nao wanataja mgaoMirathi ni ya familia yake, ambayo itakuwa inaujua mshahara wa ndugu yao.
Sawa ila sio kwa kutusimanga huko mkuu ๐๐Ndio ubadilishe koti hill mkuu yaani nimecheka mnooo