Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 4,766
- 5,880
Twambie kwanzashahara wako kabla ya kutaja ya wenzakoShaaban Kissu MC wa Taifa ndiye the most paid Radio presenter so far, akiwa TBC Na sasa AMG
Analipwa zaidi ya milioni tano kwa mwezi, sababu ya kuwa hivyo inatokana na kuwahi kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya enzi za Kikwete. Kabla ya kutumbuliwa na JPM.
Kanuni za utumishi ziko wazi ukipandishwa cheo unaweza kushushwa hicho cheo lakini mshahara hautashuka hata kama ulihudumu kwenye hiyo ofisi kwa siku moja tu.
Shaaban Kissu anakula mshahara wa DC kasoro marupurupu, ni mpaka atakapo staaafu utangazaji unless other wise.
Aliyemfuatia kwa karibu alikuwa marehemu Gardna G ambaye mshahara wake sitauweka hapa maana waswahili tunajuana hatuna dogo kwenye mirathi.