Yaani Watanzania!!!Shaaban Kissu MC wa Taifa ndiye the most paid Radio presenter so far, Yupo TBC
Analipwa zaidi ya milioni tano kwa mwezi, sababu ya kuwa hivyo inatokana na kuwahi kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya enzi za Kikwete. Kabla ya kutumbuliwa na JPM.
Kanuni za utumishi ziko wazi ukipandishwa cheo unaweza kushushwa hicho cheo lakini mshahara hautashuka hata kama ulihudumu kwenye hiyo ofisi kwa siku moja tu.
Shaaban Kissu anakula mshahara wa DC kasoro marupurupu, ni mpaka atakapo staaafu utangazaji unless other wise.
Aliyemfuatia kwa karibu alikuwa marehemu Gardna G ambaye mshahara wake sitauweka hapa maana waswahili tunajuana hatuna dogo kwenye mirathi.
25m kwa mwaka labda
ITV kwenye upande wa habari za michezo ni 0mchuzi!.....Mfano hawa wa ITV habari(upande wa michezo
Bado kazi ya u MC ilimpa sana helaHapo umepotosha Gardner alikua analipwa million 8.7 after tax.
Akipiga jingle moja alikua analipwa kwa sekunde kila baada ya sekunde 30 analipwa million 1.5 inamaana tangazo likiwa na dakika moja analipwa 3M kwa masharti ya tangazo litumike ndani ya siku 30 tu inamaana ukitaka litumike kwa zaidi ya mwezi mmoja utalipia kila mwezi
Hapo bado kampuni ya bia aliyokua anapenda ilimpa offer ya kunywa bia bure kabisa bar yoyote ambayo inayo Lipa namba
Mshahara huo na hizo bonus za matangazo kama unavyotuaminisha,afu pale kijitonyama ndio nyumbani kwake pako vile?Hapo umepotosha Gardner alikua analipwa million 8.7 after tax.
Akipiga jingle moja alikua analipwa kwa sekunde kila baada ya sekunde 30 analipwa million 1.5 inamaana tangazo likiwa na dakika moja analipwa 3M kwa masharti ya tangazo litumike ndani ya siku 30 tu inamaana ukitaka litumike kwa zaidi ya mwezi mmoja utalipia kila mwezi
Hapo bado kampuni ya bia aliyokua anapenda ilimpa offer ya kunywa bia bure kabisa bar yoyote ambayo inayo Lipa namba
Maisha ni Sanaa unaweza kupata hela nyingi ukaishia kufanya mambo madogo na anaepata hela ndogo akafanya mambo makubwaMshahara huo na hizo bonus za matangazo kama unavyotuaminisha,afu pale kijitonyama ndio nyumbani kwake pako vile?
Yaani B12 alipwe Laki 6 na Gadna 1.5 m ... Aliyekudanganya kamchape makofi.Labda Plus matangazo ila mshahara si kweli...Hao watu wanakipato kikubwa nje ,wapo kwenye media kwa ajili ya free promo...Kama kina b12 wanalamba jiwe 6 kwa G habash sidhani kama ilizidi 1.5m.
Hivi Ile nyumba ni yake ama kapangisha?Maisha ni Sanaa unaweza kupata hela nyingi ukaishia kufanya mambo madogo na anaepata hela ndogo akafanya mambo makubwa
da waliamua kumuua Kwa style hiyoHapo umepotosha Gardner alikua analipwa million 8.7 after tax.
Akipiga jingle moja alikua analipwa kwa sekunde kila baada ya sekunde 30 analipwa million 1.5 inamaana tangazo likiwa na dakika moja analipwa 3M kwa masharti ya tangazo litumike ndani ya siku 30 tu inamaana ukitaka litumike kwa zaidi ya mwezi mmoja utalipia kila mwezi
Hapo bado kampuni ya bia aliyokua anapenda ilimpa offer ya kunywa bia bure kabisa bar yoyote ambayo inayo Lipa namba
Kituo nacho cha kishamba maduka kibao tu wangeongea nao wakawa brand hao watangazajiKuna baadhi ya watangazaji unawaona kabisa hawa pangu pakavu tia mchuzi!.....Mfano hawa wa ITV habari(upande wa michezo) kila siku mavazi yale yale inamaanisha ata fedha za nguo hawana