logo

  1. vibertz

    Hili suala la nembo kwa jezi mpya ya Yanga ipoje?

    Ninaipongeza klabu ya Yanga kwa kuendelea kufanya vizuri kwenye ku design jezi. Jana zimezinduliwa jezi za kiwango haswa mpaka mashabiki wa Simba wakizitamani. Lakini moja ya jambo ambalo kwangu ni tata ni ishu ya logo ya main sponsor wa mashindano ya Caf inter club ambaye ni total energies...
  2. mnyilinga platform

    Mnyilinga project the logo Gallery

    From mnyilinga editing team Hellow guys pengine unahitaji logo kari na matangazo tuko kwa kazi hiyo Kazi zetu utazipenda na gharama ni ndogo sana kwa ku design logo tuna vunja vunja bei ni sawa na bureee !! Karibu sana ujipatie huduma zote za logo designing na matangazo na editing nyingine...
  3. mnyilinga platform

    Logo mpya kutoka mnyilinga team

    Sasa unaweza kujipatia logo kari sana kama hizi kwa bei nzuli kabisa na kwa muda lafiki karibu sana MLB (Mnyilinga logo bank ) 😁😁 Kwa mahitaji ya logo nichek DM tuongee kwa bei nzuri sana na kwa muda lafiki wa kufanya kazi yako .
  4. mnyilinga platform

    new logo (mnyilinga platform)

    Nimetengeneza hii leo kama unahitaji logo kali ni cheki tuongee MIMI GHARAMA ZANGU ZA LOGO DESIGNING NI NAFUU SANA NA LOGO NI NZULI WATAALAMU ! nahitaji msaada wa mawazo pamoja na mwongozo wa hili nina Tsh 300k (laki tatu) je naweza kupata laptop nzuli yenye uwezo wa kunisaidia Graphic...
  5. P

    Computer graphic, photoshop, illustration, Logo design, printing, marketing

    Nime soma course ya computer graphic miaka minne kutoka JWTZ Kama kuna mtu anatafuta kijana wa computer graphic anaye weza kutengeneza kama photoshop, photography, logo design, web design, app design, video director nipo hapa 4 years experience. Lakini pia nina mafunzo ya ukamanda kutoka JWTZ...
  6. mnyilinga platform

    Nifanye nini kufaidika na kipaji changu cha digital designing?

    Wakuu nahitaji ushauri na pia maoni kuhusu hili, Naitwa Eliud Novat naishi Dar es Salaam. Nina ujuzi wa kutengeneza logo na napenda sana digital designing lakini tangu nijue nina huo utaalamu sijawahi kufaidika chochote na kipaji hicho. Je, nawezaje kukitumia kipaji hiki iwe fursa ya mafanikio...
  7. D

    Best open source application logo designing

    asee wanajamvi sina mengi naomba kuuliza open source app nzuri ya kutengeneza logo, ambayo sio nzito sana kwa midrange pc kwenu studio wakuu....
  8. M

    Msaada jinsi ya kutumia logo remover

    Naombeni msaada jinsi ya kuondoa logo kwenye video, nilijaribu kutumia logo remover lkn bado sielewi vizuri. Msaada kwa wataalamu jamani
  9. Jitume Biashara

    INAUZWA Tunauza Mashine aina mbalimbali, tupo Dar es salaam

    MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI BEI: 450,000/= Je, huna cha kufanya? Unatafuta kazi hupati? Sisi ni wasambazaji wa mashine tofauti kutoka china, mashine zipo kwa oda malipo ukikabidhiwa mzigo wako kwa wa dar, wamikoani kuna utaratibu wengine MNAKARIBISHWA! KWA Mashine hii unaweza kutumia kwa...
  10. PamojaTz

    Tunatoa huduma ya kuandika wasifu (Curriculum Vitae) kwa gharama nafuu, vilevile tunatoa huduma ya kutengeneza Posters na Logo

    Habari wakuu, Pamojatz inatoa huduma ya kuandika wasifu (Curriculum Vitae) kwa gharama nafuu, vilevile tunatoa huduma ya kutengeneza Posters na Logo nzuri kwa ajili ya biashara/ kampuni. Tafadhali wasiliana nasi kwa baruapepe; pamojalite@gmail.com au tuma ujumbe wa moja kwa moja Jamii Forums...
  11. Izzi

    Unahitaji Logo? Ingia hapa

    Watu, salamu kutoka Azma Africa. Uzi huu ni mahsusi kwa yeyote anaehitaji Logo na anaamini tunaweza kufanya nae kazi. Zifuatazo ni hatua ambazo kwa kawaida huwa tunazifuata mpaka kukamilisha zoezi la kutengeneza Logo ya mteja, karibu. Hatua ya kwanza: Utatupa maelezo ya namna...
  12. Bonheur Travels Tanzania

    Unaionaje logo yetu? Tuboreshe wapi? Tunapokea maoni, ushauri na mapendekezo

    Tunaishukuru sana JF na wakuu wote mliomo humu kwani mwaka 2021 mmetusaidia sana kuboresha huduma zetu hasa upande wa kuwasiliana na wateja na kuwaelimisha kuhusu safari za ndege, tiketi na mengineyo. Mwaka huu 2022 tumeona tuje na maboresho upande wa kiufundi, hivyo tukaanza na kutengeneza...
  13. Deep Image Studio

    Watengeneza Mabango, logo na Vipeperushi

    Wataalam na mabingwa wa kutungeneza Mabango Tanzania, Logo, Posters, Flyers na uchapishaji (Printing). Wasiliana nasi kwa 0762 399 650 kwa maelezo zaidi.
  14. Cannabis

    Tuhuma: Logo ya Wasafi Bet yafanana sana na logo ya kampuni iliyopo nchini India kuna janja janja imetumika?

    Kuna tuhuma zinaanza kuenea taratibu, Inasemekana logo ya Kampuni mpya ya Wasafi Bet imefanana sana na logo ya kampuni ya Wily Trchnology Pvt Ltd, inayoshughulika na masuala ya IT nchini India...Baadhi ya wadau wanasema logo ya Wasafi Bet imetengnenezwa kwa kutumia mfumo wa copy & paste kama...
  15. chizcom

    Facebook inaweza kujikuta kwenye kesi na logo ambayo ni kampuni nyingine

    Sijui kwanini facebook alikurupuka kutengeneza logo ambayo kumbe ni ya kampuni nyingine. Hawa watu wanamsubiria kutambulisha na kumfungulia kesi waje kumfilisi.
  16. T

    Simba walivyopendeza na logo ya NBC, kanuni kuitoa Yanga kwenye ligi

    Simba na NBC ni kama kiuno na mkanda tangu enzi hizoooo jezi la mnyama simba likiwa limechafuka kama kawaida kitendo ambacho siyo rahisi kukuta kwenye team zinazofanya vibaya kuvutia sponsors wa kuchafua jezi. Pichani ni Mnyama Pawasa akiwa ametinga uzi wenye twiga mwekundu vilevile ni vyema...
  17. benzemah

    Yanga na rangi Nyekundu kwenye Logo ya NBC Bank

    Mapema leo, NBC Bank na TFF zimeingia ubia wa udhamini wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara, NBC wakiweka mezani bilioni 7.5 kwa kipindi cha miaka 3. Moja kati ya faida anazotarajiwa kupata NBC Bank kama mdhamini ni uwepo wa nembo/chapa yake (Logo Placement), katika jezi za timu shiriki katika Ligi...
  18. Nijosnotes

    Logo Tsh. 30,000/= tu! ndani siku 1, hapa hapa jf

    Utapata logo kwa ajili ya matumizi yako binafsi, taasisi, biashara, kampuni n.k. kwa Tsh. 30,000/= Tu ndani ya siku 1 hapa hapa jf ama ukipenda whatsapp: 0767 402964. Logo utatumia kutengenezea business cards, stika, flyers, bango la biashara yako, profile pictures za biashara yako au binafsi...
Back
Top Bottom