Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5.
Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado wanajifunza, pamoja na kuwa ni watu wazima na wasomi.
Kwenye mtandao wa kijamii wa Kimataifa wa Quora, kuna...
African Union Vacancy – English Interpreter/Translator
African Union Vacancy – English Interpreter/Translator
African Union (AU)
Arusha
Location: Tanzania
Organization: African Union
AU Values
Respect for Diversity and Team Work
Think Africa Above all
Transparency and Accountability...
Abstract and Figures
In 2012, the British Council and the Government of Tanzania through the then Ministry of Education and Vocational Training, now Ministry of Education, Science and Technology, implemented a four-year project, known as Education Development and Quality Improvement Project for...
"I was today years old when I found out Babu wa Kitaa na Country Boy ni mtu na kaka yake".
Kumekuwa na mabishano kuwa hiyo sentence hapo juu ni sio sawa na wengine wanasema ipo sawa.
Wajuzi miongozo yenu inahitajika.
Full name: Manchester United Football Club
Nickname(s): The Red Devils
Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.
League: Premier League
Website: ManUtd.com
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m
Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
Habari Wakuu,
Katika Jukwaa letu la Lugha nimeweka huu uzi tusaidiane kwenye kujulishana maneno ya Kiingera ya kutumia ili walau mtu unapoandika Kiingereza usionekana kama upo kawaida sawa. Naanza na haya maneno machache;
Advanced English = Basic English
Alleviate = Ease
Ameliorate = Improve...
Ni wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni...
Mimi ni single mother umri wangu ni miaka 34. Kwa ufupi Nina watoto wawili wa kiume wa kwanza ana miaka tisa wa pili ana miaka saba. Huyu kwanza yupo darasa la 4 na wa pili yupo darasa la 3. Kilicho nifanya nilete ujumbe huu hapa Jamii Forums ni kitendo cha dhulma kinacho taka kufanywa na shule...
Dear all
I hope this list will be of use to teachers and students of English. Further details of the script used to illustrate pronunciation will be provided in a future post.
Have a nice weekend.
JM
Habari wadau.
Ukweli nampongeza sana mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni kwa kuamua kubadili shule za msingi zilizokuwa swahili medium na kwenda english medium.
Hii inawaokoa wazazi kwa kuwapunguzia gharama za ada kubwa kulipa private schools wakati elimu ni hiyo hiyo.
Na pia shule za olimpio...
Simsomeshi mwanangu ili baadae aje kuwa ananipa hela. La hasha! Ninamsomesha mtoto wangu ili aweze kupata uwezo wa kujitegemea mwenyewe na kuwa responsible member of a society.
Kuwa responsible member of a society ni pamoja na kuwa useful to his or her parents or siblings in time of need like...
I would like to announce the launch of a new course for Swahili speakers to learn basic English.
Its name is Kiingereza - Hatua kwa Hatua.
I'm the author of this course and I feel that it has the potential to have a very positive impact on education in Tanzania, in particular by providing a...
The true education has three qualities 👇
1. It helps you to acquire power.
2. It helps you to maintain power.
3. It helps you to protect the acquired power.
Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine.
Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa...
Ujinga ni mzigo
Ignorance is so expensive.
Kuna watu wamekaririshwa tunasoma tuajiriwe. Maarifa siyo kitu muhimu kwao..
Hakuna mzazi anayepanda kumwona mtoto wake akiteseka, uchumi ndo utalazimu tu kufanya vinginevyo..
Na walioshindwa kuwasomesha watoto wao shule Nzuri huja na vijisababu...
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"
Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.
Watoto...
Wadau,
Moja kati ya kero yangu kubwa kwenye hizi english medium ni huu mfumo wa kulazimisha watoto wa Standard 4 na 7 kufanya remedial kwa lazima , hata pale ambapo hakuna ulazima huo. Najua shule zinafanya biashara lakini si kwa kuwapa watoto stress zisizo na lazima . Watoto mwaka mzima...
Hili ni dongo la kiutu uzima mjue? Linasadifu uhalisia kwenye jamii yetu..
Halafu ndugu zangu wabongo mbona mnapenda kujistress sana aisee???
Wabongo tunakuwaga na ujinga mwingi sana.
Kuna wabongo huwaga wana amini mtu mzima lazima uwe na mawazo mawazo hivi na stress ndio maana wanapenda...
Kudadadeki sijui ni nani alitulaani Watanzania katika Suala zima la Kuelewa na Kuzungumza Lugha ya Kiingereza ambayo GENTAMYCINE ndiyo siijui na wala Siishobokei kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.