Search results

  1. MAKA Jr

    Thread ya Kujifunza Kiingereza pole pole [Thread for Learning English bit by bit]

    Thread ya Kujifunza Kiingereza pole pole [Thread for Learning English bit by bit[
  2. MAKA Jr

    Suala la Karim Mandonga: Vyombo vya habari vimechemka

    Popote mlipo, vyombo vya Habari na waandishi wote wa Habari nchini hamjatumia weledi katika kuripoti Habari ya Mandonga. Hamjatusaidia na wala hamjatupa elimu ya kutosha katika hili. Mmekuwa kama kasuku. Lakini ni kawaida yenu. Imefika hatua sasa, kila mtu anataka kuwa hodari wa kuelezea jinsi...
  3. MAKA Jr

    SoC02 Tunahitaji majukwaa ya kukuza fasihi ya Kiswahili

    Picha. Chanzo: The Citizen (12/08/2022) UTANGULIZI Je, hatuwezi kutumia barua, insha, makala, hadithi, mashairi, tamthiliya, na riwaya za Watanzania katika kufanya utafiti wa masuala kadhaa yenye mustakabali muhimu kwa Taifa letu? Je, mtoto mdogo wa Shule ya Msingi au Sekondari hawezi kutoa...
  4. MAKA Jr

    SoC02 Sababu saba (07) zinazopelekea mtoto wa Kitanzania ashindwe kupata elimu bora

    Picha. Chanzo: Mwananchi (12/08/2022) UTANGULIZI Nchi masikini na zinazoendelea zina changamoto nyingi kama vile; changamoto za umasikini, utandawazi, na kielimu. Changamoto za upatikanaji wa elimu bora ndio kubwa zaidi. Tanzania kama moja ya nchi zinazoendelea pia ina changamoto kadhaa...
  5. MAKA Jr

    Suala la Mandonga na Kaoneka: Ndio Urithi wetu, na ndio mtindo wetu wa maisha

    Suala la Mandonga kupigwa na Shaban Kaoneka, lakini anaendelea kupata dili za pesa, ni mwendelezo wa kile tulichorithi na mtindo wetu wa maisha. Shaban Kaoneka hana haja ya kulalamika. Inauma, lakini anatakiwa aelewe pia kuwa Tanzania hatuangalii vyeti, mikanda, wala Ufaulu. Tanzania tunaishi...
  6. MAKA Jr

    Historia ni Uti wa mgongo wa kila Taifa

    Historia ndio Uti wa mgongo wa kila Taifa. Bila kujua historia ya Taifa husika ni sawa na kutojua ulikotoka na hujui unakokwenda. Anayejua historia vizuri, pia anajua jana ilikuwaje, anajua leo inatakiwa iweje, na pia anajua ni jinsi gani kesho inatakiwa kuwa. Tusome historia. Ni muhimu sana...
  7. MAKA Jr

    SoC02 Visingizio 20 vinavyorudisha nyuma maendeleo ya Watanzania - Sehemu ya Pili

    UTANGULIZI Hali ya kuwa watu wa visingizio siyo ya kubeza. Ina athari na inarudisha maendeleo yetu nyuma. Visingizio hivi sio mtindo bora wa maisha. Ni mtindo wa kurudi nyuma. Katika Sehemu hii ya Pili, visingizio hivi vimepewa namba 11 hadi 20, lakini sio lazima usome kuanzia 11 hadi 20 kwa...
  8. MAKA Jr

    SoC02 Visingizio 20 vinavyorudisha nyuma maendeleo ya Watanzania - Sehemu ya Kwanza

    UTANGULIZI Watanzania tunasifika kwa upole na ukarimu. Hizi sifa na nyinginezo hazikuja bure. Waasisi wa Taifa hili walitumia mbinu nyingi kutujengea sifa hizi za kiungwana. Moja ya mbinu hizo ni kuhimiza matumizi ya lugha ya Kiswahili ambayo imetujengea utamaduni huo hadi leo. Hata hivyo...
  9. MAKA Jr

    Mfumo wa Elimu Wenye Rangi Madoadoa kama Chapati

    MAONI: Tanzania ni Nchi pekee ambayo kila Waziri wa Elimu ana Elimu yake, yaani anakuja na MFUMO wake wa Elimu. SWALI: Huu mfumo utakoma lini au Wakubwa walishagundua hii ina manufaa kwao?
  10. MAKA Jr

    Ni zamu ya Wana-Yanga kumuonea huruma Haji Manara

    Nasema hivi kwa kuwa ni Wana-Yanga pekee, kwa kuwa yuko kwo, ndio wanaweza kufanya hivyo. LAKINI, HAJI MANARA HAYUKO SAHIHI. Endelea kumuonea huruma ya kishabiki.
  11. MAKA Jr

    Ajira Portal wapo kweli ofisini?

    NAOMBA MSAADA KWA ANAYEJUA NAMNA YA KUWAPATA. Nahitaji sana huduma yao. Nimefungua Akaunti ya Ajira Portal, na nimetumiwa email na link ya ku-activate account yangu lakini kila niki-click ile link kwenye email yangu, link haifunguki. Nimeawaandikia email lakini hawajajibu. Nimewapigia simu...
  12. MAKA Jr

    Mchakato wa Kuomba Ajira za Sensa Umetuonyesha kuwa bado Mifumo yetu ya ajira nchini ina changamoto kubwa sana

    Mifumo yetu ya ajira bado ina changamoto kubwa sana. Mchakato wa kuomba ajira za uandikishaji wa sensa 2022 umedhihirisha hivyo. Kwanza lazima Serikali ipongezwe kwa kuajiri vijana wengi ambao hawana ajira, lakini mfumo mzima wa ajira umeonyesha mapungufu kadhaa kama vile: (1) Kusahaulika kwa...
  13. MAKA Jr

    Watanzania hatupendi kusoma vitabu. Kwa hiyo tunapenda kusomewa?

    Kama kweli Watanzania hatupendi kusoma vitabu, ina maana tunapenda kusomewa. Je, ni kweli? Na sisi tunakubali tuwe tunasomewa? Hakika, ndio maana tunapewa sana 'matango pori' na wale watu wanaotusomea. Kwa kweli, hii tabia sio nzuri. Jamani, na sisi tuanze kusoma ili tusile 'matango' pori kila...
  14. MAKA Jr

    Misingi mihemuko

    "Misingi iliyojengwa kwa mihemuko hupotea kama moshi angani. Watanzania tuanze kuwekeza kwenye misingi imara ambayo haitapotelea angani kama moshi."
  15. MAKA Jr

    Vita Vya Russia-Ukraine: Je, ni muhimu kuchagua upande?

    Hili ni swali kwa wabobezi wote wa siasa za kimataifa. Vita vya Russia-Ukraine: Je, ni muhimu kuchagua upande kama nchi? Kwa sisi wananchi, tunaona ni rahisi kuchagua upande. Kwa mfano kuna wananchi mitaani wanasema ndio ni bora Urusi awabe adhabu watu wa Ukraine na washirika wake, na wengine...
  16. MAKA Jr

    This Cybercrime Act is Blind

    But my blog is about school subjects and I'm giving them away to the students. Should I register and pay as well?
  17. MAKA Jr

    MBUNGE MSUKUMA NA ELIMU YA DARASA LA SABA

    Mbunge wa Geita vijijini, Joseph Kasheku maarufu Musukuma (CCM), ameitaka serikali irudishe kazini watumishi wa darasa la saba iliowafukuza vinginevyo wabunge wenye elimu ya darasa la saba pia waondolewe bungeni. Musukuma amesema hayo bungeni Mjini Dodoma leo Ijumaa Aprili 6, alipokuwa...
  18. MAKA Jr

    Natamani Tanzania yenye vitu hivi vitatu vifuatavyo:

    1. Elimu Bora ya Uraia. Hapa Somo lote la Uraia/Civics lifumuliwe na watoto waanze kujifunza haki zao za kikatiba tangu ngazi za chini. 2. Katiba Ya Wananchi. Hii ni katiba itakayojumuisha zaidi ya asilimia 80% ya matakwa ya wananchi tu. 3. Viwepo vitu vya kuwafanyia wananchi ili wajenge mioyo...
  19. MAKA Jr

    Ukweli Utatuweka Huru

    Ukweli haufichiki, na hata ukifichwa bado utamtesa mfichaji. Tahadhari kwa waficha ukweli: Huo ni ugonjwa wa kujitakia.
  20. MAKA Jr

    Midomo yetu ya kununuliwa

Back
Top Bottom