Vita Vya Russia-Ukraine: Je, ni muhimu kuchagua upande?

MAKA Jr

JF-Expert Member
Nov 17, 2016
256
185
Hili ni swali kwa wabobezi wote wa siasa za kimataifa.

Vita vya Russia-Ukraine: Je, ni muhimu kuchagua upande kama nchi? Kwa sisi wananchi, tunaona ni rahisi kuchagua upande. Kwa mfano kuna wananchi mitaani wanasema ndio ni bora Urusi awabe adhabu watu wa Ukraine na washirika wake, na wengine wanaona Russia ni mkorofi huku wakiitetea Ukraine pamoja na washirika wake.

Swali ni: Je, sisi kama nchi ni lazima kuchagua upande? Na tukikaa kimya ni sahihi?
 
Hili ni swali kwa wabobezi wote wa siasa za kimataifa.
Vita vya Russia-Ukraine: Je, ni muhimu kuchagua upande kama nchi? Kwa sisi wananchi, tunaona ni rahisi kuchagua upande. Kwa mfano kuna wananchi mitaani wanasema ndio ni bora Urusi awabe adhabu watu wa Ukraine na washirika wake, na wengine wanaona Russia ni mkorofi huku wakiitetea Ukraine pamoja na washirika wake.
Swali ni: Je, sisi kama nchi ni lazima kuchagua upande? Na tukikaa kimya ni sahihi?
Tanzania siasa zake kimataifa ni kutoegemea upande wote, Sisi kama Taifa wote tunashirikiana ila mwenye nguvu ndio tutashirikiana nae zaidi.
 
Viongozi wengi wa Africa wanipenda Russia na China kwa sababu tawala zao zinafanana ila tatizo kubwa ni kwamba hawawezi kupata misaada na mikopo mingi huko kama wanayopata Ulaya na Marekani. Tatizo ndio linaanzia hapo.
 
Hili ni swali kwa wabobezi wote wa siasa za kimataifa.

Vita vya Russia-Ukraine: Je, ni muhimu kuchagua upande kama nchi? Kwa sisi wananchi, tunaona ni rahisi kuchagua upande. Kwa mfano kuna wananchi mitaani wanasema ndio ni bora Urusi awabe adhabu watu wa Ukraine na washirika wake, na wengine wanaona Russia ni mkorofi huku wakiitetea Ukraine pamoja na washirika wake.

Swali ni: Je, sisi kama nchi ni lazima kuchagua upande? Na tukikaa kimya ni sahihi?
Ni Bora kuchagua upande wa mtetezi wa dunia kwani mabeberu wa ulaya na America wanaona ndio wamiliki wa dunia na wanaweza fanya vyovyote watakavyo.Ila mara hii hawaamini macho yao kwani Mwamba anawagaragaza,tangu waingereza,waitalia, wamarekani na eu wao,hutaki shuhudia menyewe Kwa macho na masikio Yako🤔
 

Attachments

  • Screenshot_20220721-120233.png
    Screenshot_20220721-120233.png
    180 KB · Views: 5
Ukisema hufungamani na upande wowote maana yake ni kwamba uko upande wa mtesi.
Ureno ilijifanya neutral kwenye vita ya pili ya Dunia, Hitler akawaambia basi mnipe chakula kwa raia wangu la sivyo nitakuvamia, Ureno alitii na ndio ikawa salama yake
Nalog off Z
 
Sisi tunataka usawa na haki duniani, sio mtu alikua akifurahia marekani na washirika wake kuishambulia Iraq au Libya alafu jitu hilo hilo linakuja kupiga mayoe humu na kulia eti Urusi anaivamia Ukraine
 
Back
Top Bottom