MAKA Jr
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 256
- 185
1. Elimu Bora ya Uraia. Hapa Somo lote la Uraia/Civics lifumuliwe na watoto waanze kujifunza haki zao za kikatiba tangu ngazi za chini.
2. Katiba Ya Wananchi. Hii ni katiba itakayojumuisha zaidi ya asilimia 80% ya matakwa ya wananchi tu.
3. Viwepo vitu vya kuwafanyia wananchi ili wajenge mioyo ya uzalendo.
2. Katiba Ya Wananchi. Hii ni katiba itakayojumuisha zaidi ya asilimia 80% ya matakwa ya wananchi tu.
3. Viwepo vitu vya kuwafanyia wananchi ili wajenge mioyo ya uzalendo.