MAKA Jr
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 256
- 185
Historia ndio Uti wa mgongo wa kila Taifa. Bila kujua historia ya Taifa husika ni sawa na kutojua ulikotoka na hujui unakokwenda.
Anayejua historia vizuri, pia anajua jana ilikuwaje, anajua leo inatakiwa iweje, na pia anajua ni jinsi gani kesho inatakiwa kuwa.
Tusome historia. Ni muhimu sana kwa Taifa.
Anayejua historia vizuri, pia anajua jana ilikuwaje, anajua leo inatakiwa iweje, na pia anajua ni jinsi gani kesho inatakiwa kuwa.
Tusome historia. Ni muhimu sana kwa Taifa.