Historia ni Uti wa mgongo wa kila Taifa

MAKA Jr

JF-Expert Member
Nov 17, 2016
256
185
Historia ndio Uti wa mgongo wa kila Taifa. Bila kujua historia ya Taifa husika ni sawa na kutojua ulikotoka na hujui unakokwenda.

Anayejua historia vizuri, pia anajua jana ilikuwaje, anajua leo inatakiwa iweje, na pia anajua ni jinsi gani kesho inatakiwa kuwa.

Tusome historia. Ni muhimu sana kwa Taifa.
 
Back
Top Bottom