Search results

  1. yash_ed

    Nimekuwa muathirika wa energy drink kwa muda, naombeni ushari tafadhali

    Habari wakuu, Tangia nianze kuishiriki hii kitu huu ni mwaka wa tatu nilikuwa naenda nayo vizuri kwa mwaka na nusu ya mwanzo nilikuwa naweza kui control vizuri lakini hivi sasa nimekuwa mraibu wa huyu jini energy drink nikiikosa mwili unakosa nguvu, kichwa kinaniuma hivyo bhasi baada ya kuona...
  2. yash_ed

    Nimeota Al Ahly ikishinda 0-4, wapinzani wao sikuona ni timu gani

    Habari za wikiendi na skukuu ya Baba wa Taifa. Bila kuchelewa ngoja niende kwenye mada husika. Usiku wa jana kuamkia leo nileota ndoto ya ajabu mpaka hivi sasa cjajua inamaana gani. Nimeota Al Ahly ya Misri ikishinda magoli 4-0 huku wapinzani wao sikuweza kuwaona ni timu gani. Mwenye ujuzi wa...
  3. yash_ed

    Elimu ya uumbaji binadamu bila kujamiiana

    ELIMU YA UUAMBAJI BINADAMU BILA KUJAMIIANA (CLONING) Mchakato wa uumbaji wa binadamu bila kujaamiana (Cloning) ulianza mwaka 1938 na wanajeshi wa Nazi chini ya kamanda Hitler. Ian Wilmut muasisi wa uuambaji wa kondoo aitwaye Dolly, raia wa London nchini Uingereza alipata upinzani mkali baada ya...
  4. yash_ed

    Thread ya single boy na wanaume ambao hawajawahi kushiriki tendo la ndoa (bikra wa kiume)

    Kama uzi unavyosema, kwa wale wanaume masingle namaanisha hana mke na yupo katika kutafuta ubavu wake wa kushoto na wale wanaume waliotunza heshima kwa ajili ya mke mtarajiwa (bikra wa kiume) Tungependa mtugee mrejesho wa yale mnayopitia; namaanisha raha za kuwa katika mahusiano na changamoto...
  5. yash_ed

    Kweli Morocco ipo Afrika au tunajipendekeza?

    Kwa position kama hizi siamini kama Morocco ni waafrika hawa ni Washington kabisa ni kosa kubwa Kuwa jumuisha kwenye bara la watu wa ovyo.
  6. yash_ed

    Wanaume ni watu wa ajabu kweli

    Na kucheka kote huko mpaka kuwekwa duara unaweza kukuta hawajuani majina wala wanapoishi. Kongole wanaume. Using tayari😆😆
  7. yash_ed

    Naomba kujuzwa vidonge mtu akimeza ataweza kupata usingizi mzito na kulala kwa muda mrefu?

    Habari wana jamvi Kutokana na pirika za wiki nzima na msongo wa mawazo ningependa kujuzwa vidonge vipi mtu akila huweza kupata usingizi mzito na kulala kwa muda mrefu Nb. Wapo walonishauri ninywe pombe lakini mimi si mpenzi wa hvyo vinywaji
  8. yash_ed

    Msaada wa kupata kitambulisho cha NIDA online

    Msaada Tutani, Naombeni kwa anayejua hii Ishu anitonye na Mimi Nipate Kitambulisho Changu cha NIDA Online Nikatoe Copy Jamani nimeteseka sana.😰🙏
  9. yash_ed

    Hii nchi ina vijana wa hovyo sana

    Nimeshindwa hata kumalizia using mjonee tu wenyewe
  10. yash_ed

    Mrejesho wa yale niliyosema kuhusu kijana wa hovyo Majaliwa aliyeidanganya nchi na wasomi wake

    INASIKITISHA SANA TENA SANA 😭 WALIOOKOLEWA WAKANA KUSAIDIWA NA MAJALIWA, WADAI WALITUMIA JUHUDI ZAO KUJIOKOA. Furaha ya Majaliwa Shujaa aliyeokoa watu kwe ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Bukoba mkoani Kagera huenda ikageuka huzuni baada ya abiria waliookolewa kwenye ajali hiyo kudai...
  11. yash_ed

    Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

    Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa. Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na...
  12. yash_ed

    Kwa wale wahenga wenzangu enzi za VHS

    Huyu mwana dada ananikosha sana kwa enzi zangu huyu ndo staring wa kike ninaye mkubali ni staring yupi unaye mkubali kpnd cha vhs Angalizo kwa wale vijana walozaliwa kipindi cha cd wasikoment ntawaandalia uzi wao asanteni
  13. yash_ed

    Natafuta nwanamke wa kuanza naye maisha kwa aliye siriaz

    Habari wana jf kama nilivotanguliza hapo juu mimi ni kijana wa miaka 29 najishughulisha na biashara kariakoo dsm natafuta mwanamke wa kuanza naye maisha kuhusu umri kuanzia miaka 27+ chini ya hapo hapana mara nyingi hawapo sirias na maisha kuhusu dini kwangu sio tatzo cha umuhimu awe na hofu ya...
Back
Top Bottom