Kupitia upya mkataba ya uwekezaji inayotungwa na kuwekeana baina ya serikali ya Tanzania kwa pamoja ili kuweka mazingira mazuri kwa uwekezaji ili kuwavutia wawekezaji wengi kufanya uwekezaji katika sekta mbalimbali za kiuçhumi hatua hii itasaidia sana kukuza pato la mtu mmoja mmoja lakini kwa...
DPWORLD ni kampuni kubwa ya biashara yenye makao makuu yake Dubai ambayo inajishughulisha na uwekezaji katika maeneo ya bandarini. Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizopata bahati ya kuingia mkataba na Kampuni ya DPWORLD,hatua hii ya makubaliano Kati ya Tanzania na DPWORLD ili lenga kuboresha...
Elimu ni maarifa na ujuzi anaokuwa mtu kuhusu jambo fulani, hivyo kusaidia katika kufanya kazi Fulani kwa ufanisi na matokeo ya kazi hiyo kuwezesha mtu kuinua hali yake ya kimaisha.
Elimu ni sekta muhimu katika kuzalisha wataalamu na wahudumu mbalimbali wenye ufanisi na stadi mbalimbali ambazo...
Wamasai ni miongoni mwa makabila maarufu katika manila takribani 150 yanayopatikana nchi Tanzania katika kanda za mikoa ya kanda za juu kusini hususani mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, jamii ya kimasai ni jamii maarufu katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kutokana na sifa ya kipekee ya...
UTANGULIZI.
Uchumi wa kati ni hali ya nchi kupiga hatua ya maendeleo ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kitamaduni,hivyo nchi huweza kujiimarisha yenyewe katika sekta muhimu za uzalishaji mali Kama viwanda,Kilimo, biashara na uchumi na kuongeza pato la nchi kwa haraka,hivyo kuachana na hali ya...
Elimu inayotolewa shule ni inatakiwa kuwandaa wanafunzi kikamilifu katika kushiriki kwenye shughuli za uzalishaji kuondoa hali ya utegemezi na ukosefu wa afya
Serikali katika kukabiliana na changamoto za uhifadhi wa mazingira haina budi kusimamia uwajibikaji na utawala bora kwa taasisi wizara maalumu zenye jukumu hili ili kudhiti madhara yanayotokana na uchafuzi wa mazingira.
Siasa safi ni msingi mkuu wa maendeleo nchini ambao inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa Sana kwani nchini isiyokuwa na siasa safi IPO hatarini katika kudumia kimaendeleo kwani siasa ndiyo inaamua mstakabali mzima wa maisha ya baadae
Shule ya sheria ni taasisi ya elimu ya juu inayotoa mafunzo ya kitaalamu kuhusu sheria na kuwapa wanafunzi stadi na maarifa ya kuwa wataalamu wa sheria. Shule za sheria zinatengeneza wanasheria wenye ujuzi ambao wanaweza kufanya kazi katika mazingira ya kitaalamu Kama vile mahakama,uchumi Ww...
Uhifadhi wa mazingira ni juhudi za kuchukua hatua zinazolenga kulinda na kudumisha mazingira ya asili ikiwa ni pamoja na mimea,wanyama,hewa,maji na ardhi.Uhifadhi wa mazingira unahusisha kushiriki kikamilifu katika kuzuia uharibifu wa mazingira, kupunguza uchafuzi wa hewa,maji na udongo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.