Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Salam! Wale wazee wa misosi ipi top 3 yako ya nyama tamu. Ya kwangu hii hapa: 1. Kuku Asee huyu ndege hadi leo binafsi naona nyama yake haina mpinzani yani hana mbadala yani nyama iwe mchemsho...
15 Reactions
181 Replies
13K Views
Sehemu ya Kwanza: Kupika Keki kwa Mikono na Zana za Kienyeji Kukusanya Vifaa: Kwa njia hii, tutahitaji bakuli kubwa, kijiko, bakuli la kuchanganyia, na vifaa vingine vya kienyeji kama vile bakuli...
1 Reactions
5 Replies
372 Views
Wanabodi, Sisi binadamu tofauti tofauti tuna hobies mbalimbali, wengine wanapenda kutulia sehemu moja, wengine wanapenda kusafiri safiri. Mimi hobby yangu ni safari, na kula. yaani travelling...
14 Reactions
65 Replies
5K Views
Habari wazee wa masotojo, Moja kwa moja kwenye mada. Hii sikufanya mimi, alifanya dogo nyumbani. Alikuwa anataka kutengeza juice amazing ili aoneshe ujuzi wake. Basi akachukua maembe na...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Asante kwa kujiunga nasi leo! Leo, tutajifunza jinsi ya kupika keki kwa njia mbili tofauti: kwa kutumia mikono na zana za kienyeji, na kwa kutumia vifaa na mashine za kisasa. Kila njia ina sifa...
0 Reactions
0 Replies
298 Views
Mambo vipi WanaJf? Tatizo ni nini hadi MTURA kupotea kwenye Baa nyingi mjini? Wapishi hakuna? Nilikua Kahama miezi mitatu iliyopita pale Choma Zone Mtura ulikuwepo lakini ghafla mpishi akatoweka...
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Jamani kuna sehemu ukienda kula mpaka una enjyoy test ya chakula hususan nyama ukienda migahawa ya wazanzibar wanakuwa ni michuzi mitamu sana. Hivi wanatumia viungo gani vinavyofanya test iwe...
2 Reactions
7 Replies
521 Views
Naendeleza somo langu la mbinu za mapishi na masotojo ya kijanja. Nimegundua jamii ya watanzania wapo nyuma sana kwenye mapishi. Last time nilikuja na kigongo cho rosti la kitimoto Mbinu za...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa mtu anaefaham kitimoto Safi mahali inapopatikana kigamboni Msaada iwe nzuri sio ya kupunja Location
13 Reactions
100 Replies
4K Views
Wakuu habarini za weekend niende Moja Kwa Moja kwenye mada tajwa naomba kujuzwa vipimo vya kutengeneza kashata yaan kuanzia karanga nusu na kuendelea kuanzia sukar na maji kias gan asanten sana na...
1 Reactions
1 Replies
282 Views
Kama wewe ni mlevi wa pombe kali au mvivu wa kula pata supu ya mkia hasa shinani maana una nyama nyingi na tamu bei pia si mbaya waweza kula kongolo au ulimi lakini havishibishi kama mkia...
2 Reactions
12 Replies
7K Views
Supu ya nyama ina nini cha ziada Mimi naona kama ni maji tu,unakuta mtu anakunywa mapombe too much akiamini supu yenye kakipande kamoja cha nyama inasaidia kutibu madhara ya pombe alizokunywa. At...
4 Reactions
10 Replies
585 Views
Hivi sio vyakula bali ni vichocheo vya kula nyama zaidi. KICHURI Kichuri kinatengenezwa na kutokana chakula ambacho hakijameng'enywa ndani ya tumbo la mnyama kinachanganywa na ndimu au limao...
4 Reactions
9 Replies
558 Views
Habari wakuu. Natamani nifanye jiko la nyumbani kwangu liwe la tofauti kidogo na nimeona Kuna hizi sufuria za non stick ambazo zimekuwa maarufu sana. Naomba mwenye kuzijua vizuri anielezee sifa...
3 Reactions
59 Replies
5K Views
PAGE I Chakula ukikizingatia unaweza kuenjoy sana maisha siyo kula kula tu. Ila jua nini wewe roho yako inapenda na unataka uleje na kipikweje. Wapo watu wengi wana hela ila hawaenjoy kabisa...
10 Reactions
91 Replies
2K Views
Matayatisho Iliki ,tangawizi ya kusaga ,majani ya chai , maziwa na maji na sukati Jinsi ya kuitengeneza Ni rahisi sana ufundi ni kidogo Chemsha maji yachemke kabisa kama robo lita hivi ongeza...
13 Reactions
59 Replies
9K Views
Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano 😋😋😋
26 Reactions
124 Replies
6K Views
Mahitaji 1. utumbo 1kg 2. Mchicha fungu 2 3. kitunguu 1 4. karoti 1 5. pilipili hoho 1 6. currypowder 7. chumvi 8. Tangawizi 9. Limao 10. Nazi / karanga MAANDALIZI 1. Bandika utumbo wako jikoni...
7 Reactions
18 Replies
23K Views
MABUNDA ni aina ya chakula cha asili cha Afrika ambacho ni rahisi kukiandaa. Pia kinajulikana kama MKATE WA NDIZI Kwa lugha nyingine.Ni chakula kilicho katika mfumo wa mkate ila hiki upikwa na...
5 Reactions
15 Replies
15K Views
Wazee wa maakuli, leo tunauanza mwaka mwaka mpya, naamini uko mzima wa afya. Tumeuanza mwaka na msosi gani leo? Mimi nimepiga ndizi bukoba na dagaahapa safii, utamu unafika hadi kisogoni.
3 Reactions
45 Replies
912 Views
Back
Top Bottom