Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 968
- 1,268
Mambo vipi WanaJf? Tatizo ni nini hadi MTURA kupotea kwenye Baa nyingi mjini? Wapishi hakuna? Nilikua Kahama miezi mitatu iliyopita pale Choma Zone Mtura ulikuwepo lakini ghafla mpishi akatoweka, Mtura nao ukatoweka! Likawa linapatikana Bomu, mimi silipendi sana.
Bado najiuliza kwanini Mtura haupatikani kwenye Bar nyingi mjini wakati ni mtamu balaa?! Bia inashuka kama maziwa!? Yani hata Kimara/Mbezi hakuna Mtura?! Chefs mliomo humu, nini tatizo?! TUNATAKA MTURAAA
Bado najiuliza kwanini Mtura haupatikani kwenye Bar nyingi mjini wakati ni mtamu balaa?! Bia inashuka kama maziwa!? Yani hata Kimara/Mbezi hakuna Mtura?! Chefs mliomo humu, nini tatizo?! TUNATAKA MTURAAA