Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 646
- 945
Jamani kuna sehemu ukienda kula mpaka una enjyoy test ya chakula hususan nyama ukienda migahawa ya wazanzibar wanakuwa ni michuzi mitamu sana.
Hivi wanatumia viungo gani vinavyofanya test iwe vile kwenye nyama na samaki?
Hivi wanatumia viungo gani vinavyofanya test iwe vile kwenye nyama na samaki?