Black Opal
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 201
- 262
Habari wazee wa masotojo,
Moja kwa moja kwenye mada. Hii sikufanya mimi, alifanya dogo nyumbani. Alikuwa anataka kutengeza juice amazing ili aoneshe ujuzi wake.
Basi akachukua maembe na pensheni freshi, akatia ka hiliki vizuri na sukari safi, sasa kwenye kuongeza madikodiko si akaweka na vitunguu swaumu 😂 😂 😂 😂 eti ili juice inukie vizuri.
Yaani kila aliyekuwa anakunywa lazima aulize kuna nini humu, akisikia vimewekwa vitunguu swaumu ili kuongeza harufu nzuri anakufa mbavu. Juice ilibidi inywewe kibishi maana ilikua nyingi😂😂😂😂.
Vipi wewe, ulishawahi kujikuta mjuaji au ukataka ku impress watu ukaishia kutoa kituko?
Moja kwa moja kwenye mada. Hii sikufanya mimi, alifanya dogo nyumbani. Alikuwa anataka kutengeza juice amazing ili aoneshe ujuzi wake.
Basi akachukua maembe na pensheni freshi, akatia ka hiliki vizuri na sukari safi, sasa kwenye kuongeza madikodiko si akaweka na vitunguu swaumu 😂 😂 😂 😂 eti ili juice inukie vizuri.
Yaani kila aliyekuwa anakunywa lazima aulize kuna nini humu, akisikia vimewekwa vitunguu swaumu ili kuongeza harufu nzuri anakufa mbavu. Juice ilibidi inywewe kibishi maana ilikua nyingi😂😂😂😂.
Vipi wewe, ulishawahi kujikuta mjuaji au ukataka ku impress watu ukaishia kutoa kituko?